Kichankuli
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 887
- 189
sijui waliochimba kaburi walikuwa kina nani labda kwa sababu sikuangalia tangu mwanzo, lakini niliwaona JKT wakifukia kaburi halafu JWTZ wakatwanga Mizinga, Vipi Polisi mbona hawakushiriki zaidi ya kuwa na raia tu/ Je wao siyo wakakamavu kiasi cha kufanya mojawapo ya tukio la mazishi?