Mazishi ya Kawawa

Kichankuli

JF-Expert Member
Dec 18, 2008
887
189
sijui waliochimba kaburi walikuwa kina nani labda kwa sababu sikuangalia tangu mwanzo, lakini niliwaona JKT wakifukia kaburi halafu JWTZ wakatwanga Mizinga, Vipi Polisi mbona hawakushiriki zaidi ya kuwa na raia tu/ Je wao siyo wakakamavu kiasi cha kufanya mojawapo ya tukio la mazishi?
 
Mzee Kawawa alijulikana kama SIMBA wa VITA - Polisi ni nadra sana kwenda VITANI!
 
sijui waliochimba kaburi walikuwa kina nani labda kwa sababu sikuangalia tangu mwanzo, lakini niliwaona JKT wakifukia kaburi halafu JWTZ wakatwanga Mizinga, Vipi Polisi mbona hawakushiriki zaidi ya kuwa na raia tu/ Je wao siyo wakakamavu kiasi cha kufanya mojawapo ya tukio la mazishi?


Hahahaha Polizei?!>>>>>wale si walinda doria jamani waende wakafanye nin wapige mizinga na wao au?..word!
 
sijui waliochimba kaburi walikuwa kina nani labda kwa sababu sikuangalia tangu mwanzo, lakini niliwaona JKT wakifukia kaburi halafu JWTZ wakatwanga Mizinga, Vipi Polisi mbona hawakushiriki zaidi ya kuwa na raia tu/ Je wao siyo wakakamavu kiasi cha kufanya mojawapo ya tukio la mazishi?
we hasa hasa TATIZO LAKO NINI?
au niseme ni wapi UMEKWAZIKA?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom