Mazishi ya karume

Mazishi ya karume

Ziroseventytwo

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
9,409
Reaction score
17,862
Wadau, salam. Eti ni kweli Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hakuudhuria mazishi ya Abeid Aman Karume mwaka 1972?
Ufafanuzi tafadhali.
 
Wadau, salam. Eti ni kweli Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hakuudhuria mazishi ya Abeid Aman Karume mwaka 1972?
Ufafanuzi tafadhali.
Alihudhuria na picha zipo nyingi na nakumbuka ndipo tulipoona ulinzi mkalikaribu na Nyerere kwa maana ya kuonekana bunduku hadharani.
 
Back
Top Bottom