Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 3,897
- 5,354
Hakuna kijiji unachoweza kukifananisha na Machame au Marangu ndani ya nchi hii ya Tanzania, nasema hakuna na haitakaa kiwepo.
Maji yapo 24/7 alafu huko maji ni bureee maana system ya mabomba wameconnect kutoka milimani huko...maji ya kule huna haja ya kuchemsha ni ya baridiii na safi kabisa, tulikua tunakunywa bila kuchemsha...umeme upo huko miaka mingi nyumaMaeneo mazuri sana hayo,ila ni lazima uwe na vipesa flani hivi,fikiria kuwa eneo kama hilo hata umeme wa Gridi hakuna si unaona ma panel ya solar huko juu,barabara nzuri ya kukufikisha mpaka hapo lazima uwe na uwezo wa kuitunza ili isigeuke kichaka,hilo eneo usilione linapendeza hivyo,shughuli yake ya kumaintain majani,miti na usafi lazima iwepo pesa,jiulize maji ya kutumia hapo yanatoka wapi maana inaonekana nyumba iko very isolated...
Na usafiri lazima uwepoMaeneo mazuri sana hayo,ila ni lazima uwe na vipesa flani hivi,fikiria kuwa eneo kama hilo hata umeme wa Gridi hakuna si unaona ma panel ya solar huko juu,barabara nzuri ya kukufikisha mpaka hapo lazima uwe na uwezo wa kuitunza ili isigeuke kichaka,hilo eneo usilione linapendeza hivyo,shughuli yake ya kumaintain majani,miti na usafi lazima iwepo pesa,jiulize maji ya kutumia hapo yanatoka wapi maana inaonekana nyumba iko very isolated...
Mkuu you either get angry or be inspired. the choice is yours!Kwetu Lufilyo ndio kwa kina Mwandosya. Unachokisema ni uongo mtupu, umasikini umetamalaki
Hakuna kijiji unachoweza kukifananisha na Machame au Marangu ndani ya nchi hii ya Tanzania, nasema hakuna na haitakaa kiwepo.
Hapa ni kama umekuja kutuonyesha tu jinsi alivyotupiga akiwa madarakani, na wala hakuna uhusiano wowote na uchumi wa kati. Sema kila mtu aliyeko hapa Dar naye awe waziri kwanza kwa muda wa miaka 10, kisha ndio arudi huko kijijini. Kwa Mwandosya kurudi kijini ni sawa maana ana kila kitu, na yumo above 70.
Sio aliyekaa madarakani. Labda Nyerere na wenzake enzi akiwa rais na wajamaa wengine.Mkuu siyo kila anayeishi maisha mazuri ni mpigaji.
Aisee hiyo nyumba ya kawaida sana aiseeTuonyeshe na machame kwa mwenyekiti!
Yan nashangaa mnaoishangaa hiyo nyumba !!! ShaaaaZipo za kutosha!
Ambao hawajafika huko hawawezi kusadiki hiloHakuna kijiji unachoweza kukifananisha na Machame au Marangu ndani ya nchi hii ya Tanzania, nasema hakuna na haitakaa kiwepo.
Wewe ndio uniambie sijafika wapi sasaMkuu tembea uone. Naamini hayo maeneo yapo..ingawa wewe huyajua au hujawahi kufika.
Wewe mnyasa mbona umefura ghafla?
Tatizo la Dar ni joto tu.Tatizo la tukuyu ni baridi tu
Wewe ndio uniambie sijafika wapi sasa
Yan nashangaa mnaoishangaa hiyo nyumba !!! Shaaaa