mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Magufuri sio Kiongozi ni Muongozwa, hata ukoo wake haujawahi kutoa kiongozi.
Nilivyomfanyia baba'ako mzazi haitoshi na wewe unarembua macho sio eenh! karibu getto kiumeni.
anasema watanzania wanahitaji mabadiliko zaidi ... huyu MTU ni kichaa kabisa
Mag3 hoja yako ni sahihi kabisa.
Kuna usemi ambao chanzo chake ni lugha ya Yiddish (inayozungumzwa na Wayahudi wa Ulaya): "There are three kinds of people, those that make things happen, those that watch things happen and those who don't know what is happening".
Mataifa yote yaliyoendelea na yenye nguvu yalijiwekea utaratibu wa kuhakikisha wanapata viongozi wao kutoka kundi la kwanza. Ni bahati mbaya sana mgombea urais wa CCM Bw. Magufuli (kama ilivyo kwa JK) anatoka katika kundi la pili - he simply watches things happen; he cannot influence them!
Kwa mfano, anazungumzia mabadiliko kama bla bla tu ya kisiasa wakati kiuhalisia hawazi kuyaleta - he just doen't have what it takes to bring about CHANGE.
Mabadiliko yanaweza tu kuletwa na watu wa kundi la kwanza. Habari njema ni kwamba mgombea urais wa Ukawa Bw. Lowassa anatoka kundi hili.
analysis imeenda shule hii ngoja nii copy nikasambaze whatsap..Magufuli hawez kushinda urais!
Magufuri hafai kua rais, hajajipanga na hakujipanga,hajui mmatatizo ya watanzania licha ya kua waziri kwa miaka 20,anajua hawezi kkua rais na anajua hana uwezo wa urais.
Mwenyewe na mlezi wake anaembeba mgongoni kila mahala bwana tezi dume juzi wakati wa kutambulishwa kwa wazee wa dar alisema hakua anajua kama anaweza kua rais,hakujua kama ana sifa za kua rais na anajua hatoshi kwenye urais.
Urais sio jambo la kufanyia majaribio au sehem ya kulia good time kama vijana wanavyosema, magafuri anataka kujaribu, haiwezekani. Tumejifunza kwammba kikwete ameufanya urais kua rasi na sehemu ya kula good time yeye na familia yake, haiwezekani kabisa
Magufuri ajiandae kurudi kwao chato akavue samaki.
Magufuri sio Kiongozi ni Muongozwa, hata ukoo wake haujawahi kutoa kiongozi.
Halafu cha kushangaza
eti magufuli anauliza twiga wamepanda vipi ndege wakati mwenye kuhusika alikuwa naye hapo
Magufuri hafai kua rais, hajajipanga na hakujipanga,hajui mmatatizo ya watanzania licha ya kua waziri kwa miaka 20,anajua hawezi kkua rais na anajua hana uwezo wa urais.
Mwenyewe na mlezi wake anaembeba mgongoni kila mahala bwana tezi dume juzi wakati wa kutambulishwa kwa wazee wa dar alisema hakua anajua kama anaweza kua rais,hakujua kama ana sifa za kua rais na anajua hatoshi kwenye urais.
Urais sio jambo la kufanyia majaribio au sehem ya kulia good time kama vijana wanavyosema, magafuri anataka kujaribu, haiwezekani. Tumejifunza kwammba kikwete ameufanya urais kua rasi na sehemu ya kula good time yeye na familia yake, haiwezekani kabisa
Magufuri ajiandae kurudi kwao chato akavue samaki.
Great analysis
Pombe hafai kuwa Raisi wa Tanzania