Mayweather aka Moneyweather

Mayweather aka Moneyweather

Maywether ni bondia wa ngumi za kulipwa, kwahiyo kashinda pambano lake.
 
Maywether ni bondia wa ngumi za kulipwa, kwahiyo kashinda pambano lake.

Amemfumua yule dogo wa De La Hoya? De La Hoya mwenyewe kajificha Clinic mapema, alijua dogo hana ubavu. Safi sana, ingawa uzi ungeupachika jukwaa stahili ingekuwa burudani zaidi!
 
Acheni Ushabiki wa kijinga Dogo Kaonyesha Upinzani ambao Mayweather hajawahi ona au pata! Uwiano wenyewe hakuna Dogo 23, Mayweather 36! Mayweather alitakiwa kuonyesha kama yeye ni mbabe kwa KO Kwa yule Dogo! Ishara za Nyakati hizo kwa Moneyweather!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama ni Umri basi umri mdogo ndiyo inakuwa factor kubwa kwenye ngumi sababu ya Ujana Ari na Nguvu. Tyson alichukua Ubingwa wa dunia wa Heavyweight akiwa kijana mdogo wa miaka 20.
 
Canelo alicheza pambano katika uzito usio wake,kwahiyo kupunguza uzito ili alingane na maney kulimwasili mno,
 
Kweli hiyo a.k.a uliyompa ya Moneyweather ni stahiki yake kabisa, maana amelamba dala milioni 70 huku dogo akiambulia dala milion 10!
 
Kweli hiyo a.k.a uliyompa ya Moneyweather ni stahiki yake kabisa, maana amelamba dala milioni 70 huku dogo akiambulia dala milion 10!

Wewe mwongo maywether katata dola mill 45.7 huku dogo akipata dola mill 6.4
 
Siku atakayokubali kuzichapa na Pack yao na kumdunda ndo ntamkubali zaidi, maana nasikia anamkimbia kinoma
 
Mayweather hajawahi poteza pambano lolote lile tokea aanze ndondi.
 
Moneyweather anachonga sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom