Huyo kwenye picha ni wewe?Acheni kupangia maisha ya watu wengine, wapi Mayele amesema hana furaha?
Haya ndiyo majini sasa, maana unaondoka lakini yanakufuata tu. Sasa kukosa furaha kwa Mayele kuna hasara au faida gani kwako na kwa familia yako?Kule pyramids Kuna fedha lakini hakuna furaha kwa Mayelle. Money over happiness¡
Achague furaha kama ngasa ambae leo hii anapitisha bakuli kuomba msaadaKule pyramids Kuna fedha lakini hakuna furaha kwa Mayelle. Money over happiness¡
Pesa huleta furaha.Kule pyramids Kuna fedha lakini hakuna furaha kwa Mayelle. Money over happiness¡
Ndio mkuuHuyo kwenye picha ni wewe?
Kwahiyo Mayelle ana furaha kuliko hawa?Leo alikuwa anaruka ruka tu. Sasa hata mimi nikifanya mazoezi siku 5 tu, nachukua namba mbele yake.