Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,736
- 5,492
BREAKING NEWS!
Majadiliano ya muda mrefu baina ya uongozi wa Yanga SC na Fiston Kalala Mayele yamefikia tamati kwa mshambuliaji huyo kuuambia uongozi kuwa anahitaji kupata changamoto mpya.
Fiston alibakisha mkataba wa mwaka mmoja na mabingwa hao watetezi wa ligi kuu Tanzania bara.
kutoka kwenye chanzo cha kuaminika Fiston Kalala Mayele atakua mshambuliaji mpya wa klabu ya Pyramid FC ya nchini Misri.
BIASHARA:
Biashara ya kwanza ya team ni kuuza wachezaji, Yanga imevuna kiasi cha takribani 2B kwenye uhamisho wa mshambuliaji wao nyota. Pongezi kwa klabu na uongozi kwa ujumla kwa kufanya maamuzi ya kimpira na kuingizia klabu kiasi cha pesa kitakacho fanikisha ujenzi mpya wa kikosi na miundombinu ya klabu.
Kamanda Fiston Mayele kila lakheri..
Majadiliano ya muda mrefu baina ya uongozi wa Yanga SC na Fiston Kalala Mayele yamefikia tamati kwa mshambuliaji huyo kuuambia uongozi kuwa anahitaji kupata changamoto mpya.
Fiston alibakisha mkataba wa mwaka mmoja na mabingwa hao watetezi wa ligi kuu Tanzania bara.
kutoka kwenye chanzo cha kuaminika Fiston Kalala Mayele atakua mshambuliaji mpya wa klabu ya Pyramid FC ya nchini Misri.
BIASHARA:
Biashara ya kwanza ya team ni kuuza wachezaji, Yanga imevuna kiasi cha takribani 2B kwenye uhamisho wa mshambuliaji wao nyota. Pongezi kwa klabu na uongozi kwa ujumla kwa kufanya maamuzi ya kimpira na kuingizia klabu kiasi cha pesa kitakacho fanikisha ujenzi mpya wa kikosi na miundombinu ya klabu.
Kamanda Fiston Mayele kila lakheri..