lyasi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 362
- 383
Mkuu hawa walipomaliza walienda kunawa mikono kabla hawajashikana mikono na watu wengine? Sababu ya kutotaka salamu za kushikana mikono.Sio hawa ndugu zao?
View attachment 1172356
Mkuu hawa walipomaliza walienda kunawa mikono kabla hawajashikana mikono na watu wengine? Sababu ya kutotaka salamu za kushikana mikono.Sio hawa ndugu zao?
View attachment 1172356
Mshana umevunja protokali.Sio hawa ndugu zao?
View attachment 1172356
Spika anapaswa kufunzwa Diplomatic etiquette hasa anapokuwa ugenini...
He was not comfortable na treatment aliyopewa labda hakuitarajia (hakufanya preparations za kutosha)
Amepewa maua ameanza kuyashangaa badala ya kushukuru plus smile
Ameimbiwa wimbo wa Tanzania naye ameanza kuchukua kwa kisimu chake... as if hajui kuwa kwa level yake kila kitu kitarecordiwa...
View attachment 1172338
Ilikuwa wapi huko mkuu?
Ukiwaza heshima ya nchi hii, na hasa unaposikia wimbo huo; halafu uwaze tabia za mtu kama huyo akiliwakilisha taifa kama hili..., Aaah..."Tanzania Nakupenda kwa Moyo Wote."
Tutavuka tu.
Spika anapaswa kufunzwa Diplomatic etiquette hasa anapokuwa ugenini...
He was not comfortable na treatment aliyopewa labda hakuitarajia (hakufanya preparations za kutosha)
Amepewa maua ameanza kuyashangaa badala ya kushukuru plus smile
Ameimbiwa wimbo wa Tanzania naye ameanza kuchukua kwa kisimu chake... as if hajui kuwa kwa level yake kila kitu kitarecordiwa...
View attachment 1172338
Wimbo wa taifa ukiimbwa najua watu tunasimama kwa heshima na kutulia. Mbona yeye ndiyo anatoa kasimu na kuanza kurekodi? Si angeomba tu hiyo rekodi baadaye? Kasahau kwamba everything is recorded???Spika anapaswa kufunzwa Diplomatic etiquette hasa anapokuwa ugenini...
He was not comfortable na treatment aliyopewa labda hakuitarajia (hakufanya preparations za kutosha)
Amepewa maua ameanza kuyashangaa badala ya kushukuru plus smile
Ameimbiwa wimbo wa Tanzania naye ameanza kuchukua kwa kisimu chake... as if hajui kuwa kwa level yake kila kitu kitarecordiwa...
View attachment 1172338
Ujinga ni talent yako,Usikute hapo Wachina wenyewe hayo yoote ulioyaandika na kuyaona wewe wala hawakuyaona.
Acheni kufanya maisha yawe magumu zaidi ya yanavyopaswa kuwa, hata huyu Muzungu hayuko hivyo mnavyomdhania.
Sio hawa ndugu zao?
View attachment 1172356
Nchi hii haiishi vituko, usishangae kukuta hata huyo chief hazijui hizo protocol anazopaswa kusimamia.Chief of protocol anatakiwa kuwa anawaandaa watu hawa kabla hawajaenda nje ya nchi.
Weyeeeeee hahahahahahahahaha angekuwa BAK kafanya hivi angeshashushiwa BAN ya nguvu, lakini wengine mna ngekewa zenu humu.