wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Tatizo anatokea nchi ya malimali huko.
Hahaaha naona umewandama sana wagogo kupitia huyu jamaa.Mgogo utamjua tu .
Hivi huyo jamaa alikuwa kalewa au alikuwa timamu.
Maisha magumu enzi za Magu kwa Praise Team? You are joking. Kwani Magu anashangaa vingapi? Kwa taarifa yako anajishangaa kwa kuwa analofanya ni kichefu chefu.Usikute hapo Wachina wenyewe hayo yoote ulioyaandika na kuyaona wewe wala hawakuyaona.
Acheni kufanya maisha yawe magumu zaidi ya yanavyopaswa kuwa, hata huyu Muzungu hayuko hivyo mnavyomdhania.
Tatizo anatokea nchi ya malimali huko.
Too local. Hanaga personal assistant huyu?Ameimbiwa wimbo wa Tanzania naye ameanza kuchukua kwa kisimu chake... as if hajui kuwa kwa level yake kila kitu kitarecordiwa..
Ili atume whatsap group au? Umenichekesha sana.Kuna media za kutosha zinarekodi halafu naye anazirekodi
Unakumbuka Zitto alisemaje kuhusu awamu hii?Spika anapaswa kufunzwa Diplomatic etiquette hasa anapokuwa ugenini...
He was not comfortable na treatment aliyopewa labda hakuitarajia (hakufanya preparations za kutosha)
Amepewa maua ameanza kuyashangaa badala ya kushukuru plus smile
Ameimbiwa wimbo wa Tanzania naye ameanza kuchukua kwa kisimu chake... as if hajui kuwa kwa level yake kila kitu kitarecordiwa...View attachment 1172338
Mtatetea upumbavu hadi lini?Usikute hapo Wachina wenyewe hayo yoote ulioyaandika na kuyaona wewe wala hawakuyaona.
Acheni kufanya maisha yawe magumu zaidi ya yanavyopaswa kuwa, hata huyu Muzungu hayuko hivyo mnavyomdhania.
Spika anapaswa kufunzwa Diplomatic etiquette hasa anapokuwa ugenini...
He was not comfortable na treatment aliyopewa labda hakuitarajia (hakufanya preparations za kutosha)
Amepewa maua ameanza kuyashangaa badala ya kushukuru plus smile
Ameimbiwa wimbo wa Tanzania naye ameanza kuchukua kwa kisimu chake... as if hajui kuwa kwa level yake kila kitu kitarecordiwa...
View attachment 1172338
Hii kitu ilifanyika wapi? Hawa watu wamejulikana?
wachina wanataka rasilimali zetu