Mayai ya Kenge yanapatikana

Mayai ya Kenge yanapatikana

Ukiangalia kwenye profile yake hapo juu utaona location kwa babu wa lolionda, hayupo serious,.
 
Mbona hujibu maswali ya raia unayoulizawa??? Au unafanya jokes???
 
Kama wewe una shida nayo na unaweza kuuza kwa elfu 20 moja vipi tukiingia memorundum of understanding ili nikuuzie kwa elfu kumi kumi contract ya mwaka mzima
 
Kono kono? Mbona chakula tena kama Liberia wanasema it is good for men [QUOT E=King Kong III;13373470]Safi Sana hizi nguvu za kiume watakula hadi kono kono.[/QUOTE]
 
Kono kono? Mbona chakula tena kama Liberia wanasema it is good for men [QUOT E=King Kong III;13373470]Safi Sana hizi nguvu za kiume watakula hadi kono kono.
[/QUOTE]

tena huyo m1 kwenye sinia katoa shingo imejaa minofu ya kufa mtu' ila huku tunapoelekea mh!
 
Kono kono? Mbona chakula tena kama Liberia wanasema it is good for men

Mkuu.......hilo linalopiga misele mitaa ya sinia........duh.........
nahisi biyaa yangu inataka kutoka..........aluuuuu.......
 
Back
Top Bottom