Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,289
Ndugu zangu naomba msaada nimefuga kanga na kuku upande wa kuku hakuna tatizo ndipo nikaona nijiongeze kufuga kanga. Ni eneo kubwa sana wanapata chakula cha kutosha tatizo wanataga vichakani bila mimi kujua na kupata mayai ni shida, baada ya kufatilia sana nimepata sehemu wanayotagia na kufanikisha kupata mayai 60 lakini wanyama wamepitia mayai 35.
Hayo mayai nimeyauza maana nikiwawekea kuku wanatotoa mawili tu, msaada tafadhali kama kuna njia ya wao kutagia bandani
Hayo mayai nimeyauza maana nikiwawekea kuku wanatotoa mawili tu, msaada tafadhali kama kuna njia ya wao kutagia bandani