Mayai ya Bundi.

Mayai ya Bundi.

hayaongezi nguvu za kiume? Kwa kuwa mimi ni impotence niuzie hayo mayai nikamdunge mimba mwanamke wa kwanza, nasikia eti amefika menopose
 
Usipotoshe watu bana........... Bundi hatagi, bali anazaa.............
Mtambuzi sasa naona umefika mahali pa kupotosha watu bila kutambua kwamba utambuzi wako hauko sahihi. Bundi anataga mayai bali popo ndiyo anayezaa.
 
Mtambuzi sasa naona umefika mahali pa kupotosha watu bila kutambua kwamba utambuzi wako hauko sahihi. Bundi anataga mayai bali popo ndiyo anayezaa.

Oh! sorry, nilishindwa kutofautisha kati ya Bundi na Popo.................uko sahihi mkuu
 
Marehemu babu yangu, nalikuwa fundi, alisema ukiona yai la bundi tu, baada ya miezi 3 LAZIMA uwe chizi, labda unanihii na dada'ako wa damu juu ya paa ya nyuba yenu mchana kweupee. We uliyaona lini?..
 
Marehemu babu yangu, nalikuwa fundi, alisema ukiona yai la bundi tu, baada ya miezi 3 LAZIMA uwe chizi, labda unanihii na dada'ako wa damu juu ya paa ya nyuba yenu mchana kweupee. We uliyaona lini? Oh mamma!
 
Marehemu babu yangu, nalikuwa fundi, alisema ukiona yai la bundi tu, baada ya miezi 3 LAZIMA uwe chizi, labda unanihii na dada'ako wa damu juu ya paa ya nyuba yenu mchana kweupee. We uliyaona lini? Oh mamma!
Huyo babu yako alikuwa anasumbuliwa uroho na uchu wa kuhalalisha kubanjua dada zake!
 
Marehemu babu yangu, nalikuwa fundi, alisema ukiona yai la bundi tu, baada ya miezi 3 LAZIMA uwe chizi, labda unanihii na dada'ako wa damu juu ya paa ya nyuba yenu mchana kweupee. We uliyaona lini?..
<br />
<br />
Sasa mi sina dada,itakuwaje?najuta kuyaona!
 
Yai la bundi ni dawa ya magonjwa sugu, unalinywa bichi bila kuchanganya na ki2, asubuhi kabla hujala kitu chochote, unakaa baada ya masaa matatu ndo unakula chakula kingne.
 
Usipotoshe watu bana........... Bundi hatagi, bali anazaa.............
<br />
<br />
Ati nini?bundi anazaa!kama ni kweli naingia chini ya ardhi sasa hivi!
 
Dah! Story za utotoni hizi..nakumbuka nilipokuwa kijijini kwetu enzi zile tulikuwa kila jumamosi na jpili tunaenda msituni kusaka mayai ya bundi au kukamata ndege mbayuwayu. Tuliamini ukipata mayai ya Bundi ukayafukia kesho yake unakuta mahela kibao..na ukimkamata mbayuwayu ukamchinja nawe unachanja miguu yako kwa wembe unapaka damu yake ili uwe unapiga chenga sana mpirani. Lakini pamoja na kuyafanya yote hayo sikupata fedha wala sikuwahi kuchezea timu ya shule.
 
Dah! Story za utotoni hizi..nakumbuka nilipokuwa kijijini kwetu enzi zile tulikuwa kila jumamosi na jpili tunaenda msituni kusaka mayai ya bundi au kukamata ndege mbayuwayu. Tuliamini ukipata mayai ya Bundi ukayafukia kesho yake unakuta mahela kibao..na ukimkamata mbayuwayu ukamchinja nawe unachanja miguu yako kwa wembe unapaka damu yake ili uwe unapiga chenga sana mpirani. Lakini pamoja na kuyafanya yote hayo sikupata fedha wala sikuwahi kuchezea timu ya shule.
<br />
<br />
Ulikosea,ungeenda kwa mtaalam babu ungefanikiwa,hata rupia inajulikana kwa kuleta utajiri,lakini ni lazima umpelekee mtaalamu.
 
Elimu ndio ufunguo wa yote mkuu. Siyo mayai ya bundi au ushirikina wowote. Wengine wanafikia hata kuuwa watu sababu ya ushirikina ambao hauna maana. Kama mambo haya yanafaa ungeona timu za Africa ndio zinachukua kombe duniani. Ungeona Waafrika ndio matajiri na watu walofanikiwa duniani - lakini kinyume ndio ukweli. Mrudishie bundi mayai yake au usichukue tena kama ukiyakuta.
 
wekeni Picha yake wengine tumeshamsahau
 
Elimu ndio ufunguo wa yote mkuu. Siyo mayai ya bundi au ushirikina wowote. Wengine wanafikia hata kuuwa watu sababu ya ushirikina ambao hauna maana. Kama mambo haya yanafaa ungeona timu za Africa ndio zinachukua kombe duniani. Ungeona Waafrika ndio matajiri na watu walofanikiwa duniani - lakini kinyume ndio ukweli. Mrudishie bundi mayai yake au usichukue tena kama ukiyakuta.
<br />
<br />
Buhahahahah!mkuu umenichekesha sana,ila kumbuka dunia inatawalia na nguvu kuu mbili,za giza na mwanga.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Buhahahahah!mkuu umenichekesha sana,ila kumbuka dunia inatawalia na nguvu kuu mbili,za giza na mwanga.
duuh! Hzo nguvu za giza na za mwanga ndo zp na zp?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ulikosea,ungeenda kwa mtaalam babu ungefanikiwa,hata rupia inajulikana kwa kuleta utajiri,lakini ni lazima umpelekee mtaalamu.
<br />
<br />
Hakuna kitu kama hicho. Hizo rupia na mayai ya bundi ni usanii tu. Labda ungenambia niende kwa 'Sangoma' anipe donda-ndugu la utajiri maana nimeona matajiri wengi wamewini kwa staili hiyo.
 
NJOO kwangu rose1980 kama anakudunda huyo hakupendi, mi nakupenda sana wewe basi tu naonaga aibu kukuambia

nshakuja...nichukue bas..bt yai la bundi must nilipate il9i nkuchanganyie kwenye uji ..(limbwata babu k...yaan uzungushi at nikisema nataka HAMMER ...ahh kesho tu unaniletea funguo...
 
aisee nayahitaji kwa shughuli za kimasomo vipi hayafaii hayooo coz kuna lecturer mnoko anapindisha paper kinoma nayahitaji hayo mkuu sasa ni pm nijue ntakupata je mkuu
 
Back
Top Bottom