Maximo kuanza kuifundisha Yanga

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,833
155,780
Hizo ndio nyeti zilizonifikia hivi punde kutoka kwa makomandoo na vigagula wa Jangwani.
Kinachosubiriwa tu, ni Manji akabidhiwe uenyekiti wa klabu
 
Ndio maana mkuu wa kaya kila alipokwenda Brazil tulizani anaiwakilisha nchi kumbe kuongea na Maximo. Huyu dingi apewe 2 uraia. madem wa bongo wamemdatisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom