mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,092
Ndo hivyo ndugu...leo hii ameshakua mbaya?si tulimpokea kwa matarumbeta pale airport?
kama sisi tulivyokuwa tunamshangilia phiri pale airport kumbe alikuja kutuwekea rekodi ambayo haijawahi kutokea duniani ya timu kutoa sare mechi sita mfululizo....