Maximo inatosha sasa!

Maximo inatosha sasa!

chakati

Member
Joined
Jul 9, 2013
Posts
27
Reaction score
6
Mimi huyu mtu nanona anatuharibia timu, kwanini anamng'ang'ania huyo Jaja wake, na kutukosesha ushindi,

asituletee ubishi wa kiscolari hapa! Inakuwaje Tegete kafunga magoli mawili mechi iliyopita, jana anamweka benchi!

muda anayopewa Jaja kucheza angepewa Tegete naamini Yanga ingekuwa mbali!Kama maximo wanachezeana samba na jaja ,hukohuko, wasituharibie Chama letu!

asipange timu kiupendeleo!
 
Mimi huyu mtu nanona anatuharibia timu,kwanini anamng'ang'ania huyo Jaja wake,na kutukosesha ushindi,asituletee ubishi wa kiscolari hapa!Inakuwaje Tegete kafunga magoli mawili mechi iliyopita,jana anamweka benchi!muda anayopewa Jaja kucheza angepewa Tegete naamini Yanga ingekuwa mbali!Kama maximo wanachezeana samba na jaja,hukohuko,wasituharibie Chama letu!asipange timu kiupendeleo!
Hujui mpira wewe kwanza jiulize mara ngapi mmeshinda uwanja wa kaitaba acha ujinga wewe.
 
mnadhani kila mechi mtashinda nyie.?acheni kuota timu zote zmejiandaa...
 
Hapa nasubiri mumfukuze marcio na jaja
Subiri tu kijana wangu, akifukuzwa yule mzee wa sare sare maua a.k.a phiri na huyo uliemsema nae atafukuzwa......
Orodha ya makocha wa timu za vpl watakao fukuzwa kabla ya kumaliza msimu wa ligi wa 2014-2015 ni hawa hapa; Denis kitambi- ndanda sc ya Mtwara, patrick phiri-simba ya dar es salaam, Marcio Maximo-yanga ya dar es salaam, Juma mwambusi-mbeya city ya mbeya.......
 
Subiri tu kijana wangu, akifukuzwa yule mzee wa sare sare maua a.k.a phiri na huyo uliemsema nae atafukuzwa......
Orodha ya makocha wa timu za vpl watakao fukuzwa kabla ya kumaliza msimu wa ligi wa 2014-2015 ni hawa hapa; Denis kitambi- ndanda sc ya Mtwara, patrick phiri-simba ya dar es salaam, Marcio Maximo-yanga ya dar es salaam, Juma mwambusi-mbeya city ya mbeya.......

Tuwaombee tu wamalize msimu salama hasa hawa wa zile zinazoitwa TIMU KUBWA
 
Subiri tu kijana wangu, akifukuzwa yule mzee wa sare sare maua a.k.a phiri na huyo uliemsema nae atafukuzwa......
Orodha ya makocha wa timu za vpl watakao fukuzwa kabla ya kumaliza msimu wa ligi wa 2014-2015 ni hawa hapa; Denis kitambi- ndanda sc ya Mtwara, patrick phiri-simba ya dar es salaam, Marcio Maximo-yanga ya dar es salaam, Juma mwambusi-mbeya city ya mbeya.......

... na Omog wa Azam FC.
 
Hamieni simba timu ambayo haijapoteza mchezo
 
Ligi ngumu,usidhani utapata ushindi kila siku.

Tatizo ushindi wenyewe ni wa kubahatisha sio wa uhakika!.Ni tofauti na msimu ulipita ushindi ulikuwa wa uhakika, na hata timu ikifungwa unaona walivyopambana.
 
hahaha asalam aleikhum Juma Kaseja
 
msimu huu azam wameamua kuchukua ubingwa bila kuhonga (tff na marefarii)..ngoja tuone kama wataweza
 
Mimi huyu mtu nanona anatuharibia timu,kwanini anamng'ang'ania huyo Jaja wake,na kutukosesha ushindi,asituletee ubishi wa kiscolari hapa!Inakuwaje Tegete kafunga magoli mawili mechi iliyopita,jana anamweka benchi!muda anayopewa Jaja kucheza angepewa Tegete naamini Yanga ingekuwa mbali!Kama maximo wanachezeana samba na jaja,hukohuko,wasituharibie Chama letu!asipange timu kiupendeleo!

halafu msuva na kiiza wanapewa nafasi ndogo sana!
 
Inafungwa Barca,Bayern na timu zingine kubwa itakuja kuwa wafukuza upepo wa mgongo wazi?Acheni ujinga mkifungwa lazima mlete fujo .Mchezaji mjinga unampiga mtu kichwa usionyeshwe kadi nyekundu??
 
Back
Top Bottom