Mawazo

Mawazo

Nifanye nini Ili niondokane na mawazo ya wanawake,plz nisaidieni

al-wataan:- jina lako zuri je, ni spanish name hiyo?
Nafikiri jibu la maana kuwa " funga (saum) siku moja na ule siku ya pili, Hayo mawazo yatatoweka ...hivyo hivyo baada
ya mda utakuwa ALRIGHT... lakini jipange utafute mke !!
 
Labda ufanyiwe surgery ya kugeuzwa jinsia nawe uwe mwanamke....
Ila ukiendelea kuwa mwanaume, hilo sahau...
 
Tafuta mke uoe kama umri unaruhusu na una uwezo,.. Kama bado ni dogo achana na yasiyo kuhusu,...piga kitabu.
 
Fanya mazoezi kila siku asubuhi na jioni.
Ukiona bado, piga punyeto-ukiipiga vizuri, mawazo ya wanawake yataisha na utabaki unawaza punyeto tu. SAWA??
 
jaribu kutumia muda mwingi kujishughulisha [kulingana na umri wako] pia epuka kuangalia picha za ngono,[kama huwa unafanya hivyo] epuka magenge au makundi ya wenzako wanao jadili mambo ya wanawake kwa muda mrefu. Pia kama umefikia umri wa kuoa plz fanya mipango hiyo kwa kutafuta wife of ua type
 
Alaaniwe mwanaume asiye muwaza mwanamke mana huchelew kuwaza ndume wenzio
 
Bila shaka hauna shugul inayokuweka busy
 
Kuwa busy na kulijenga taifa na kama hali ni mbaya basi nenda kaombewe hata kama unaamin dini nyingine maombi hayachagui dini ni Mungu ndiye anayetuponya. Sasa jaribu kufanya hivyo na ikiwezekana usiwe mpweke kaa na vijana wenzio walio na sifa njema na wenye mawazo ya maendeleo. Angalia ni watu wa aina gani wanakuzunguka na mambo gani huwa mnaongea kila mara. Ukiona wanaokuzunguka huwa wanaongelea sana wanawake basi badili kijiwe hicho hakikufai.
 
Back
Top Bottom