Sir Makombo
Member
- Sep 13, 2018
- 48
- 58
Kwa waliowahi kupata tatizo la kupitiwa na upepo mchafu wa kidunia kidogo bahati mbaya(mapepo/majini). Inatokea inakugusa halafu unakuta upande mmoja wa uso unavimba na mdomo unaanza enda upande. Ule upande ulovimba unakuta mishipa imekaza. Mimi ilinipata. Nimejitahid kutumia dawa za kiarabu na kuenda maombi pia. Nimepata nafuu na naendelea vizur ila bado sijapona. NOTE: sio pressure wala stroke. Nilienda hospital vyote hamna. Kuna ustadhi ndo alinifumbua macho tu. Kuna mtu ashawah kutana na hili tatizo atoe ushuhuda alilikabili vipi...