mjanjamjanja
Member
- Feb 11, 2014
- 32
- 2
Wadau kuna swali nataka kuuliza humu jf.Je mtu mwenye ukimwi anaruhusiwa kusafiri nje ya nchi.Nje ya Tz?
Nawasilisha.
Nawasilisha.
Mfano mtu anataka aende china kibiznez au Dubai.Au kwenda nchi za ulaya kwa ajili ya matembez.
Acha unyanyapaa .kwa hiyo kwa mawazo yako yote wote wanaosafiri nje ya nchi hawana ukimwi..?
Wadau kuna swali nataka kuuliza humu jf.Je mtu mwenye ukimwi anaruhusiwa kusafiri nje ya nchi.Nje ya Tz?
Nawasilisha.
Wadau kuna swali nataka kuuliza humu jf.Je mtu mwenye ukimwi anaruhusiwa kusafiri nje ya nchi.Nje ya Tz?
Nawasilisha.
mh kwani pekee ndo wenye umeme?Nchi pekee ambayo ukienda kimasomo ama kukaa muda mrefu wanakufanyia medical examination na kukupima ukimwi kwa siri ni urusi. Otherwise hapo china wakinga kibao wapo wanaingia na kutoka kama nyuki mzingani
Mfano mtu anataka aende china kibiznez au Dubai.Au kwenda nchi za ulaya kwa ajili ya matembez.
mh kwani pekee ndo wenye umeme?