Mawazo yangu juu ya sheria ya ndoa Kikristo na kutakuzi kabla ya ndoa

Blackman

JF-Expert Member
Mar 11, 2012
827
296
Habari za leo members, naamini wote ni wazima wa afya. Bila kupote muda niende kwenye maada.
Wakuu nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu sana kuhusu hii sheria ya dini ya kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa. Hii sheria mimi siamini kama iliwekwa na Mungu. Nina sababu za msingi za kusema hivo.

Kwanza kabisa binadamu tumeumbwa na maumbile tofauti tofauti. Kuna warefu na wafupi,kuna wanene na wembamba. Hizi tofauti zipo katika maumbile yetu yote wanawake kwa waume,kuanzia muonekano wa nje mpaka viungo vya ndani. Na hili inajulikana kwa kila mmoja wetu.

Swali linakuja,nitamjuaje saizi yangu ikiwa nakatazwa kufanya mapenzi kabla ya ndoa? Maana naweza kuoa mwanamke ambae kimaumbile hatuendani matokeo yake ndoa haitadumu.

Kwa ndugu zetu wakiristo kuna sheria ya kuzuia kuoa mwanamke zaidi ya mmoja. Swali. Nitamjuaje saizi yangu ili nioe mmoja nakulizika.
Swali lingine hivi kwa nini Mungu aliumba kubwa na ndogo?
Mtazamo wangu; Mungu aliumba kubwa na ndogo ili kila mtu ajaribu mpaka apate saizi yake
Angekuwa anataka tusijaribu angeweka namba ili kila mtu achague saizi yake

Wakuu mnaruhusiwa kutoa mawazo yenu endeleeni kutiririka hapo chini
 
Mungu hakutoa akili na utashi kwa wanadamu kwa bahati mbaya. Anataka tuvitumie vyema, huwezi kupata mtu perfect but unaweza kupata walau mnaeweza kuendana.
Kwenye imani matatizo tunayaita Majaribu na huku mtaani tunayaita matatizo au changamoto ingawa ni kitu kilekile.
Ukichagua mke asiyefaa utasingizia na kujificha kwenye kichaka cha dini ukisema ni majaribu ila ndio uzembe uliofanya wakati wa uchaguzi wa mwenza unaakisiwa.
Tumwombe Mungu atujalie akili na utashi na tuvitumie vyema
 
afu kujiulizauliza juu ya sheria za Mungu nako ni dhambi kubwa sana it means unataka umpande kichwani.Mungu anaakili zaidi yako,mapenz before marriage yanasaidia asilimia kubwa kuridhika na ulichonacho.Siyo kwa idadi hii tuliyonayo ya wapenz kwa sababu ya kuchaguachagua
 
Ya Mungu ni hii peke yake " mpende mungu wako kwa moyo wako wote... na jirani yako kama nafsi yako. Hayo mengine yooote ni ya binadamu tu.
 
afu kujiulizauliza juu ya sheria za Mungu nako ni dhambi kubwa sana it means unataka umpande kichwani.Mungu anaakili zaidi yako,mapenz before marriage yanasaidia asilimia kubwa kuridhika na ulichonacho.Siyo kwa idadi hii tuliyonayo ya wapenz kwa sababu ya kuchaguachagua
Kujiuliza ndo akili,angetaka tusijiulize angetunyima akili
Tumia ubongo wako umepewa ili uutumie
 
Mungu hakutoa akili na utashi kwa wanadamu kwa bahati mbaya. Anataka tuvitumie vyema, huwezi kupata mtu perfect but unaweza kupata walau mnaeweza kuendana.
Kwa muonekano wa nje na tabia inawezekana,vipi kuhusu maumbile ya nyeti zetu? Na hatujaruhusiwa kutest
 
Wazungu walichakachua maandiko wakaingiza mila zao za kuoa mke mmoja,jiulize marafiki wa Sir God wote kuna ambae hakua na mke zaidi ya mmoja na vimada juu yake!! Ila ajabu na kweli hawa waliweza kuwa na mawasiliano na Mungu moja kwa moja.

Achaneni na mawazo ya kizungu turudi kwenye torati halisi
 
afu kujiulizauliza juu ya sheria za Mungu nako ni dhambi kubwa sana it means unataka umpande kichwani.Mungu anaakili zaidi yako,mapenz before marriage yanasaidia asilimia kubwa kuridhika na ulichonacho.Siyo kwa idadi hii tuliyonayo ya wapenz kwa sababu ya kuchaguachagua
kuchagua chagua wakati mwingine kunatokana na kutoridhika namwenzako
 
Mbaba hamna kuonja god ndio kishapanga hivyo

Hivi mahala panapotoka mtoto unapataje hiyo saizi yako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom