Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 583
- 1,266
Habarini,
Tangu mwanzo nilipomtoa bikra, its one year and a half. Tunapofanya romance naye kabla ya sex (kushikana, kissing) anapata hisia kubwa tu, lakini tunapofanya penetration mara nyingi (sio mara zote) tukimaliza ananiambia huwa hapati hisia yoyote au ya kutosha.
Nikimuuliza kuwa awe honest kama sijafanya vya kutosha ili tuendelee, ananiambia umeenda sawa na pia anasema amechoka na inatosha. Maybe ni mimi siwezi kazi, lakini kabla ya hapo wapenzi niliowah kudate niliwalidhisha katika tendo. Hili jambo linamuumiza coz anaona jitihada yangu kitandani, lkn yeye amekuwa empty. Na huyu mtoto anaonesha kunipenda sana na mimi sitak awe mnyonge.
Vipi hii hali ni ya namna gani, tutasaidake, je ni la kiafya zaidi, saikolojia, kutorodhishana, etc
Nisaidie kwa mema na sio kejeli.
Tangu mwanzo nilipomtoa bikra, its one year and a half. Tunapofanya romance naye kabla ya sex (kushikana, kissing) anapata hisia kubwa tu, lakini tunapofanya penetration mara nyingi (sio mara zote) tukimaliza ananiambia huwa hapati hisia yoyote au ya kutosha.
Nikimuuliza kuwa awe honest kama sijafanya vya kutosha ili tuendelee, ananiambia umeenda sawa na pia anasema amechoka na inatosha. Maybe ni mimi siwezi kazi, lakini kabla ya hapo wapenzi niliowah kudate niliwalidhisha katika tendo. Hili jambo linamuumiza coz anaona jitihada yangu kitandani, lkn yeye amekuwa empty. Na huyu mtoto anaonesha kunipenda sana na mimi sitak awe mnyonge.
Vipi hii hali ni ya namna gani, tutasaidake, je ni la kiafya zaidi, saikolojia, kutorodhishana, etc
Nisaidie kwa mema na sio kejeli.