Katika kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la Arumeru, tulishuhudia Rais mstaafu akiwekwa kona na meneja kampeni wa chama cha siasa cha CHADEMA aeleze kinagaubaga juu ya kifo cha Baba wa Taifa hayati JK Nyerere. Shutuma hizi zililetwa hadharani kwa mara ya kwanza katika kampeni hizi.
Swali najiuliza. Je, Inawezekana Baba wa Taifa huko aliko ameamua kumjibu Ben katika matokeo ya uchaguzi? Na kama ni hivyo, je atarudia kutoa majibu katika chaguzi zijazo?
Au wananchi wameamua kupiga kura za hasira baada ya kugundua kipenzi chao, Baba wa Taifa, aliharakishwa kufa kwa nguvu za kibinadamu? Je, hasira hii itaendelea mpaka liamba kwa maana ya 2015?
Swali najiuliza. Je, Inawezekana Baba wa Taifa huko aliko ameamua kumjibu Ben katika matokeo ya uchaguzi? Na kama ni hivyo, je atarudia kutoa majibu katika chaguzi zijazo?
Au wananchi wameamua kupiga kura za hasira baada ya kugundua kipenzi chao, Baba wa Taifa, aliharakishwa kufa kwa nguvu za kibinadamu? Je, hasira hii itaendelea mpaka liamba kwa maana ya 2015?