Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Wadau kuna ndugu yangu anataka aunge kwa kufanya masters ya Ms.Finance inayotolewa na IFM. Naombeni mwenye kufahamu anijuze ubora wake, maana kuna vyuo pia vinatoa masters lakini hazina heshima na hazitambuliki kwa vyuo ambavyo ni accredited pale unapotaka kufanya phd.
Asanteni
Asanteni