Mawazo aendelea kuiteka Kagera kwa sera za M4C

Mawazo aendelea kuiteka Kagera kwa sera za M4C

sapt

Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
6
Reaction score
1
Baada ya kazi kubwa iliyofanyika Bukoba mjini na kumng'oa mdogo wa Waziri wa Maliasili na Utalii ambae pia ni Mbunge wa Bukoba mjini.

Kamanda Mawazo alikwenda kufanya mkutano kabambe wa hadhara katika kijiji cha Bisheke wilayani Muleba. Mawazo leo asubuhi aliwasili Karagwe na kwenda mpaka jimbo ya Kyerwa na kufanya amefanya semina na viongozi wa jimbo.

Baada ya semina kamanda Mawazo akiambatana na Mbunge wa Viti maalumu CHADEMA Mhe. Conchesta wamefanya mkutano mkubwa wa hadhara na wamepokewa na umati mkubwaaaaaaaaa na watu wengi wapenda mabadiliko wamemkubali kamanda kwa jinsi anavyolimiliki jukwaa na namna anavyoeleza kwa ufasaha sera za CHADEMA.

Katika M4C kamanda Mawazo amekuwa chachu ya mabadiliko Lake zone.

Viva kamanda Mawazo, viva CHADEMA, ni lazima sasa CCM iondoke kwa nguvu ya UMMA.

Kamanda Mawazo amekuja kwa wakati na amekuwa chachu na sehemu ya mabadiliko ya fikra za wananchi wa kanda ya ziwa.

Kitaeleweka tu!
 
Babati tulimkubali pale viwanja vya Quaraa! Aluta continua.
 
Huyu Kamanda Ni noma sana, kwenye mikutano yake ukiwa na roho nyepesi ni lazima Utokwe na Machozi
 
Keep it up bigman, Malipo ni hapa hapa duniani, Mungu atakulipa kwa kazi ya ukombozi unayoifanya!!
 
Mawazo kwa wasiomjua wanaweza wakazani ni mtu wa mchezo mchezo, hii ni tunu ambayo CDM wametunukiwa na mungu kwa ajili ya kuwatumikia Watanzania.
 
mawazo we ni mjinga tu hauna lolote wapo walio tumikia chama sasa wametoswa kwenye chama hicho cha ukoo kagera huiwezi na hujui siasa za kagera
 
mawazo we ni mjinga tu hauna lolote wapo walio tumikia chama sasa wametoswa kwenye chama hicho cha ukoo kagera huiwezi na hujui siasa za kagera


Eh hivi kumbe CCM nao wana kanda zao za kisiasa................teh teh
 
mawazo we ni mjinga tu hauna lolote wapo walio tumikia chama sasa wametoswa kwenye chama hicho cha ukoo kagera huiwezi na hujui siasa za kagera
Hahahahaaaa chama cha ukoo wa watanzania Mbeya, Iringa, Dar, Arusha, Kilimanjaro, Musoma Mwanza, shinyanga,Singida, Kigoma na Mpanda Dah kwa mtaji huu huo ukoo nimeukubali maana umati wa wanaukoo kwny mikutano ya CHADEMA wote ni wanaukoo?
Hongera CHADEMA kwa kuwafanya Watanzania wote kuwa ukoo mmoja, hii hata Nyerere hakuweza kujenga umoja wa namna hii.
 
mawazo we ni mjinga tu hauna lolote wapo walio tumikia chama sasa wametoswa kwenye chama hicho cha ukoo kagera huiwezi na hujui siasa za kagera

Walioitumikia CHADEMA? nawe ni mmoja wao? hukuwa pale kwa maslahi ya chama kingine? hukuwa pale ili ukimalize nguvu chama cha CHADEMA? Ama baada ya kufukuzwa sasa ndo unatapatapa...

Halafu Unaogopa nini? njoo na ID yako halisi, maana tunajua una ID zaidi ya moja.
 
Back
Top Bottom