Kulikuwa na toviti ya mwananchi huko nyuma, ilianzishwa enzi za Vasco Da Gama awamu ya nne, lengo lilikuwa hilo ulilobaini. Pamoja na kuingia gharama za kuianzisha na watu kuichangamkia kwa kutoa maoni, sikuwahi kusikia mtu aliyejibiwa nikiwemo mimi mwenyewe.
Ilikuja kufa kifo cha mende hata kabla ya kuanza.
Wazo na ushauri wako ni mzuri, Ila sioni ni nani au Serekali gani hiyo itakubali kuwa tayari kukosolewa. Sana mpango huo utawezesha wapigaji kuchota pesa za walipakodi kwa manufaa yao binafsi.