Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

John W. Mlacha

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2007
Posts
3,504
Reaction score
1,343

Katibu wa Kamati ya Wabunge wa Chama cha Mapinduzi, Jenista Mhagama, akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma mara baada ya kumalizika kwa kikao ambacho kimewashauri mawaziri wanane kujiuzulu.


Kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa kuwa leo Mawaziri wanne wa CCM wamejiuzulu kwenye kikao cha kamati ya uongozi ya CCM kilichofanyika na hata katibu mkuu kiongozi alishiriki na sasa ndio wanaenda kuwatangazia wabunge wa CCM kwenye kikao cha ndani.

CONFRIMED!!!!!!! BY BLACK BAT......kutoka DODOMA.


 

Attachments

  • jenister.jpg
    31.3 KB · Views: 10,243

mlikuja na mambo ya sita mchana oh sibuka fm
 
Mimi naona at least NANE ndio itakua imekaa vizuri zaidi.
 
Welcome to the 21st century:
Phones-wireless.
Cooking-fireless.
Cars-keyless.
Food-fatless.
Youth-jobless.
Leaders-shameless.
Relationships-meaningless.Attitude-careless.
Feelings-heartless.
Education-valueless.
Am just speechless.
Everything has become LESS but still our hopes are endless!! good 9tless.
 
watu tuna presha na yanayojiri, unapokuja uje na kinachoeleweka ili watu tusiulize sana
 
Baadhi ni Nkulo,Ngereja,Nundu,Lukuvi.
Hawa ndio wanaotakiwa kuondoka fasta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…