Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,166
- 2,670
Mmetuongezea sana gharama za maisha kwa kauli zenu za bila kutafiti
Tatizo hamkusema pa kurekebisha
Mmetuongezea sana gharama za maisha kwa kauli zenu za bila kutafiti
Kyela tunatumia sukari ya Malawi lkn mmeipiga sasa marufukuTatizo hamkusema pa kurekebisha
hakuna rangi mtaacha kuona majambazi nyie. Mmetuibia mnoMagufili ni Rais pia ni Waziri wa kila Wizara!!Sijapata ona serikali inayo endeshwa kiajabu kama hii yetu!
Head of the State kachukua madaraka yoye toka kuwa mchumi na kiongozi wa bodi za kupanga mishahara ya watumishi kulingana na inflation hadi kuwa Chief Justice kuwafunga wasio na kazi hadi kuwa Waziri Mambo ya ndani kukamata wacheza bao hadi kuwa waziri wa Fedha kukagua bandarini na mengineyo mengi!
Pole sana.Sisi wengine tunajua fika tunaelekea kwenye kuwa nchi yenye uchumi wa kati! Na shautri yako kama bado unajiulizauliza ma kushangaashangaa usije kulalamika huko mbele wanzio tunafocus kwenye fi]ursa zinazojitokeza, Kwa kuwa viwanda vinakuja hata watoto tunawaaandaa/ tunawajenge uwezo kumanage hivyo viwanda wakati ni huu changamaka!Dukuduku moyoni, tulipotoka tunapajua, tuliko tunapajua, tunakoelekea ni giza totoro, ramani haisomeki, Mungu saidia
na kutembea na waandishi wa habari ili waonekana watendaji. Kina Kigwangala kuzuia watu wasiingie maofisi kisa wamechelewa. Kwa mihemko ya serikali hii baada ya mwaka tutatafutana hapa tusijue pakushikia.Wanaruka ruka tu ka minyumbu ya Serengeti hakuna wanachokifanya. Mimi naishangaa sana hii ya tano, sion vision, sion strategy.. Naona misaragambo huyu kaibuka na huku kutwaa kufukuzana kazi za msingi hakuna..
Duh!!!!!! So what is next mkuu????!!!!!!"Kwa sababu mawaziri ni wabunge baada ya wenzao kutinga kwa ponsio pilato wamechanganyikiwa.
Hata ile vizia vizia yao sasa haina maana, wanaweza kupigwa wakidhaniwa wanavizia kupewa rushwa.
Magufili ni Rais pia ni Waziri wa kila Wizara!!Sijapata ona serikali inayo endeshwa kiajabu kama hii yetu!
Head of the State kachukua madaraka yoye toka kuwa mchumi na kiongozi wa bodi za kupanga mishahara ya watumishi kulingana na inflation hadi kuwa Chief Justice kuwafunga wasio na kazi hadi kuwa Waziri Mambo ya ndani kukamata wacheza bao hadi kuwa waziri wa Fedha kukagua bandarini na mengineyo mengi!