kweli kaka mpaka sasa hivi tuna post idara ya irrigation haijapewa hata thumuni.nape anabadilisha kocha wakati timu mbovu
Hii ndio tatizo la mambo ya siasa,yaani wanasiasa wanaongea sana ili kupata huruma kwa wananchi,lakini inapokuja ktk kutekeleza walichokiongea ndio tatizo linapoanzia,huwezi kusimamia wizara kama haina pesa,Nape anadhani Engineer chiza anatozitoa wapi pesa za kuendesha wizara,kama serikali haitoi pesa ktk wizara husika,hata akija maraika,ataonekana hawezi kuongoza,
Nape igeni china-CPC,watatekeleza kwa kuwezesha wizara kufanya kazi na si kupanda majukwaani na kupiga kelele kuwa huyu hafai.
kwa mfano,watanzania wamelipia huduma ya umeme na tatizo kubwa mpaka sasa ni nguzo na wire hakuna,inamaana Tanesco hawana pesa ya kununua hivyo vitu na upo uwezekano pesa zilizotakiwa ziende Tanesco hazijafika hadi leo,Nape alitakiwa kuisimamia serikali isambaze pesa kwa wizara zake na si kukimbilia ktk majukwaa ya siasa na kuwataja wale wanaosimamia sera kuwa ni mzigo,mzigo sio hao,mzigo ni nyie wanasiasa mnaoingiza siasa hadi ktk maswala ya kiutendaji.
utasikia siku za mwisho wa mwaka pesa zinavyomiminika ktk mawizara na unaelezwa eti utumie milioni 300 ndani ya siku 7 na report ifike sehemu husika.kwanini pesa hizo haziletwe mwanzo wa mwaka na zikafanya kazi inayokusudiwa?
Napeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,acheni siasa bwana.