justine lowasa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 727
- 794
haha hata hiyo huenda anaijua maana lema alivyotabiri walimkamata wakidai amekosea!Mawaziri wanacheza ngoma anayopiga mkuu wa kaya hatuwezi kuwahukumu kwa mapungufu yao wakati wanafanya kazi na mtu anayejua kila kitu kasoro siku yake ya kufa
Katika kumalizia mwaka huu, tunahitimisha kwa kufanya tathmini ya mambo mbalimbali yaliyofanyika ndani ya nchi hii katika serikali yetu, lengo ni kujua wapi tulipofanya vibaya ili tuanze na kufanya vizuri mwaka unaoanz!
Sasa tuwajue ni mawaziri gani ambao walionekana kutokufanya vizuri kwenye wizara zao ili waweze kujijua na hatimaye kurekebisha yale madhaifu yao ili kuleta ufanisi zaidi!!
je bosi wao abaki?1-Waziri anaehusika na ajira aondoke
2-Waziri wa viwanda na biashara pia aondoke maana alisema yeye ni mtu wa kupiga sound tu
3-Waziri wa Maliasili na Utalii huyu hakuna kitu
Ina maana mkuu wale ambao siyo vivuli hakuna aliyeboronga?Waziri kivuli lema ameboronga maana kutwa yeye kesi,waziri kivuli wa ajira,waziri kivuli wa mambo ya ndani ki ufupi baraza kivuli limeboronga
Huo ndio mtazamo wako..Wote wako vizuri!!! Sitaki maswali....
Tupe mtazamo wako mkuu..Daah!! Aisee umefikaje humu?!
Hapo umemaliza mkuu...!!haha hata hiyo huenda anaijua maana lema alivyotabiri walimkamata wakidai amekosea!
Duhhh,,,Masha
Ktk lile baraza la vivuli ivi yeye sio kivuliMbowe ni waziri wa nini mkuu?
ndioIna maana mkuu wale ambao siyo vivuli hakuna aliyeboronga?
Njaa mkuu...Kama hakuna aliekimbia mpaka sasa......wote wako vizuri na wanakubaliana na yote yanayoendelea.
Yeye ni KUB..Ktk lile baraza la vivuli ivi yeye sio kivuli