justine lowasa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 727
- 794
haha hata hiyo huenda anaijua maana lema alivyotabiri walimkamata wakidai amekosea!Mawaziri wanacheza ngoma anayopiga mkuu wa kaya hatuwezi kuwahukumu kwa mapungufu yao wakati wanafanya kazi na mtu anayejua kila kitu kasoro siku yake ya kufa