Mawaziri 5 bora 2016

mwigulu nchemba na prof mbalawa ndio watu ninaowaaminiia sana wanafanya kazi kwa moyo na kwa uwazi. sio wanafiki. ndalichako simwelewi, siamini kama haburuzwi. ummy sioni anachokifanya tangu awepo kipindi cha kikwete sijawahi kumkubali, labda kigwangala ndio bora kuliko hata ummy. nappe simpendi tangu amtukane lowasa na kashfa zake kipindi mwenezi ccm, hajajisafisha kwangu nikimwona kwenye tv huwa nabadilisha channel.
 
Vigezo gan ulivyotumia? Isije ikawa kuonekana mara nyingi ktk tv we ukadhan ndo utendaji. Kuna madc wapo wilaya hazina hata mwandishi wa habar.
Makonda hata umpeleke Katavi atang'aa tu
 
Unafanya Kazi Maliasili Nini ?

Inaonekana Kama Maslahi Yako Yameguswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…