MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
kusema ukwel huwa inahudhi mana unaweza ukawa na hamu na mtu alafu ukakutana na matatzo kama hayo na asikupe sababu alafu ukichek ndo umekutwa na shida kama hii kwakwel inaniudh sana hiki kitendo alafu unashindwa kumuelewa je anaakil timamu au makusudi mana sijui anakuwa na maana gani ila tabia hii na kufanyiana hv hushusha hamu ya kimapenz na husababisha mtu kuanza kufikiria vingne. Labda huwa ninasema hawajui nini maana ya mawasiliano