Mawasiliano yamekuwa magumu sana

Mr Suprize

JF-Expert Member
Dec 18, 2014
869
961
Habari wana MMU!
Nimepatwa na tatizo la mawasiliano ndani ya siku za hivi karibuni katika mahusiano yangu na mtu nayempenda.
Tulikuwa tunawasiliana vizuri mwanzoni ila juzi mei mosi nampigia simu hapokei,text hajibu, iwe wasap or fb ila kote zinaonyesha seen,.
Jana nikamshirikisha rafiki yangu anisaidie nikampa namba akampigia akapokea, rafiki yangu akamuuliza kuna tatizo gan akajibu "hakuna tatizo lolote ila nipigie badae tuongee vizuri simu inakata chaji" hapo ilikuwa SAA 9 alasiri.
usiku jamaa akampigia Mara nyingi hakupokea akatuma text hakujibu..Leo tena jamaa yangu amempigia Mara kibao shemeji yake hajapokea simu wala kujibu text. Mimi mwenyewe pia nikafanya hivyo but sikufanikiwa hadi sasa.

location yake na Mimi tupo mbali kidogo kutokana na ishu za kikazi , pia taratibu za kuoana bado hazijakamilika so tupo kama wachumba. mahusiano yamedumu zaidi ya mwaka mmoja sasa.

Binafsi sijamkwaza kwa lolote baya ila nashindwa kumwelewa, na nini nifanye ili mawasiliano yangu na yeye yarudi kwenye mstari? nisaidieni wana MMU ila msinikatishe tamaa maana nampenda kweli
 
Siku zote jitahidi uyatawale mapenzi na sio yakutawale kwa sababu hapo hakuna haja ya kuumiza kichwa ikiwa hayo aliyoyafanya ameamua kufanya mwenyewe pasi kuwa na sababu ya msingi.

Kama una mambo mengine ya muhimu endelea kufanya mapenzi yapo tu usije ukawa chizi kwa kumuwaza mtu mmoja
 
Wanawake kama hujawasoma watakusumbua sana na mbaya zaidi ni pale matukio kama haya yanatokea kwa yule unayempenda sana sana. Kuna wakati unaweza kufikiri labda amepata mtu mwingine nd'o maana anakupotezea, lakini sivyo ni vituko tu yani mwanamke akiamua kukufanya vituko utajuta ila dawa ni moja tu kama hujamkosea muache atakupigia mwenyewe. Wewe kaa kimya tu endelea na mambo usimtafute anataka kuona utafanya nini
 
Pole sana mkuu, nitakushauri kwa kuvaa viatu vyako. Hakuna kitu kizuri kama kuheshimu maamuzi ya mtu hasa kwenye mahusiano. As a man umegundua partner wako anakuavoid na umetumia njia mbalimbali kuweza kuwasiliana nae ila kwa makusudi kabisa anakupotezea. Ukweli ni kwamba missed calls na texts zako anaziona ila haoni tena umuhimu wa kukujibu au kukupigia. Samahani ila ukweli ni kwamba binti haoni tena thamani yako mkuu. So cha kufanya acha kufanya mawasiliona yoyote heshimu maamuzi yake brother ukiendelea kumtafuta unajidhalilisha na kujishusha thamani
 
Wanawake kama hujawasoma watakusumbua sana na mbaya zaidi ni pale matukio kama haya yanatokea kwa yule unayempenda sana sana. Kuna wakati unaweza kufikiri labda amepata mtu mwingine nd'o maana anakupotezea, lakini sivyo ni vituko tu yani mwanamke akiamua kukufanya vituko utajuta ila dawa ni moja tu kama hujamkosea muache atakupigia mwenyewe. Wewe kaa kimya tu endelea na mambo usimtafute anataka kuona utafanya nini
Kweli mkuu
 
Habari wana MMU!
Nimepatwa na tatizo la mawasiliano ndani ya siku za hivi karibuni katika mahusiano yangu na mtu nayempenda.
Tulikuwa tunawasiliana vizuri mwanzoni ila juzi mei mosi nampigia simu hapokei,text hajibu, iwe wasap or fb ila kote zinaonyesha seen,.
Jana nikamshirikisha rafiki yangu anisaidie nikampa namba akampigia akapokea, rafiki yangu akamuuliza kuna tatizo gan akajibu "hakuna tatizo lolote ila nipigie badae tuongee vizuri simu inakata chaji" hapo ilikuwa SAA 9 alasiri.
usiku jamaa akampigia Mara nyingi hakupokea akatuma text hakujibu..Leo tena jamaa yangu amempigia Mara kibao shemeji yake hajapokea simu wala kujibu text. Mimi mwenyewe pia nikafanya hivyo but sikufanikiwa hadi sasa.

location yake na Mimi tupo mbali kidogo kutokana na ishu za kikazi , pia taratibu za kuoana bado hazijakamilika so tupo kama wachumba. mahusiano yamedumu zaidi ya mwaka mmoja sasa.

Binafsi sijamkwaza kwa lolote baya ila nashindwa kumwelewa, na nini nifanye ili mawasiliano yangu na yeye yarudi kwenye mstari? nisaidieni wana MMU ila msinikatishe tamaa maana nampenda kweli
Ckia mkuu, huna haja ya kuwaza sana.... Yule ni mtu mzima kam wewe tu yan, so ata ucpoteze muda mana anachokifanya anakifahamu vzur tu, n uzur anatumia akili zake mwenyewe so we tulia, fanya yako....

Tho naelewa ushapenda n nn.. ila jaribu kusoma alama za nyakat pia mkuu, uku magu kabana af tena mpuuz mwingine aje kukupa stress za kipuuz kam izo? Kibaya zaid anaulizwa haongei... Huo ni ujinga mbaya sana, ucpoteze mda fanya mengineyo... Alaaah!

Kwanza unaonekana kam anakujaribu, bnafc hakuna kitu kibaya kam kujaribiwa kwenye mahusiano, sasa n u komaa, muonyeshe kwamba n ww hujakosea, tulia kimya fanya yako mkuu.
 
Mkuu hali kama yako imewahi kunikuta hv majuzi tu....kuna kidemu nipo nacho chuo mwenywe certificate mm nipo bachelor... Bwana wee tumeongea kila kitu mwanaume hadi nikaanza kutoka nae out kama Mara mbili hvi chaajabu alikuja kunichunia kama vle hatujuani hta ukimuona na ukamuita anavuga kama si yy ....nilivo msoma nikasema isiwe tabu nami nikaa kiyma hadi Leo japo huwa inanuma kwa gharama zangu alizo tumia halaf hat mchezo hakunipa......nawe sasa anza kuna nae making huyo demu wako kwan wanaanzanga kujaribu baadae wanapotea mazima ...kaza buti mkuu mademu wengi mno ,mm shataka mwngne najilia vyang taratibu...
 
TATIZO AMEONJA NJE AKAKUTANA NA JAMAA ANANYINYA KABISA BASI MWANAMKE AKAKUONA FALA HAS KAMA BAADA YA KUNYONYWA ALIKPIGWA KATELEO KWA MDA MREFU

Habari wana MMU!
Nimepatwa na tatizo la mawasiliano ndani ya siku za hivi karibuni katika mahusiano yangu na mtu nayempenda.
Tulikuwa tunawasiliana vizuri mwanzoni ila juzi mei mosi nampigia simu hapokei,text hajibu, iwe wasap or fb ila kote zinaonyesha seen,.
Jana nikamshirikisha rafiki yangu anisaidie nikampa namba akampigia akapokea, rafiki yangu akamuuliza kuna tatizo gan akajibu "hakuna tatizo lolote ila nipigie badae tuongee vizuri simu inakata chaji" hapo ilikuwa SAA 9 alasiri.
usiku jamaa akampigia Mara nyingi hakupokea akatuma text hakujibu..Leo tena jamaa yangu amempigia Mara kibao shemeji yake hajapokea simu wala kujibu text. Mimi mwenyewe pia nikafanya hivyo but sikufanikiwa hadi sasa.

location yake na Mimi tupo mbali kidogo kutokana na ishu za kikazi , pia taratibu za kuoana bado hazijakamilika so tupo kama wachumba. mahusiano yamedumu zaidi ya mwaka mmoja sasa.

Binafsi sijamkwaza kwa lolote baya ila nashindwa kumwelewa, na nini nifanye ili mawasiliano yangu na yeye yarudi kwenye mstari? nisaidieni wana MMU ila msinikatishe tamaa maana nampenda kweli
 
Back
Top Bottom