Mawasiliano ya mwanamke wangu siyaelewi

Mawasiliano ya mwanamke wangu siyaelewi

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,115
Wakuu no reform no....

Mwanamke wangu simuelewi kuna namba mbili tofauti anawasiliana nazo moja ameisave kbs jina la kiume na kwa jns nlivyofanikiwa kusoma sms anazotumiana na huyo bwana nimegundua ni wa huku tulipo na mwanamke wng huku hana ndugu kabisi, mi nyumban natoka asubuhi sina narudi usku kuanzia saa 4 usku

Mmoja nliamua kucheck simu ya huyu mwanamke nikakuta muda mwang anachat na huyo bwana mpaka wanapeana ahadi za kuonana mbaya zaid mwanamke huyu ni kama vile ndiye anamuanza anamuuliza uko wapi mara amuamshe hatari zaidi sms zingne ni za usiku muda ambao nakuwa sijarud home sjaamua kumuuliza hilo nimeamua ku calm down nimpeleleze mdogo mdogo kwa kificho sina akiwa hajui kwamba huwa naptia simu yake maana nlishamzoeza kwamba sigusagi simu yake,jana tu wakati nakula usku ye alienda lala nlipoenda lala nikakuta kasnzia kajsahau akiwa anachat na huyo bwana na text ya mwsho alimtakia usku mwema. Wakuu mnaonaje nivute subra huku napeleleza au nkichafue as soon as possible na huu mkoa tuliopo ni una ukimwi ni kama maji.
 
Nilixhojifunza kwenye ndoa, ukitaka kuona meet, ana chepuka, utaona tu, kila analofanya wewe utalitafsiri kimchepuko!
Nina binamu yangu huwa nataniana nae, mpaka watu wakafikri ni dem wangu, siku moja, wife, anasikiliza mazungumzo, akajua naongea na kamchepuko kangu!siku alipogundua binti mwenyewe,kumbe ni utani tu, mpaka Leo ni mawifi wameshibana
 
Nilixhojifunza kwenye ndoa, ukitaka kuona meet, ana chepuka, utaona tu, kila analofanya wewe utalitafsiri kimchepuko!
Nina binamu yangu huwa nataniana nae, mpaka watu wakafikri ni dem wangu, siku moja, wife, anasikiliza mazungumzo, akajua naongea na kamchepuko kangu!siku alipogundua binti mwenyewe,kumbe ni utani tu, mpaka Leo ni mawifi wameshibana
mkuu acha kumla binamu yako ni dhambi
 
Nilixhojifunza kwenye ndoa, ukitaka kuona meet, ana chepuka, utaona tu, kila analofanya wewe utalitafsiri kimchepuko!
Nina binamu yangu huwa nataniana nae, mpaka watu wakafikri ni dem wangu, siku moja, wife, anasikiliza mazungumzo, akajua naongea na kamchepuko kangu!siku alipogundua binti mwenyewe,kumbe ni utani tu, mpaka Leo ni mawifi wameshibana
mkuu umeelewa nlichoandka hapo? Huku tulipo mwanamke wng hana ndugu yeyote kbs, we huyo ni ndugu yako mlikuwa mnataniana. Swali kuna utan wa kuchat na mke wa mtu usku tena mwanaume asiye na udugu na mkeo wanachat usku.
 
Wanachat kuhusu nini ? Ukute wanaongea mambo ya biashara!
biashara gn mkuu we unaijua family yng? Biashara ya mwanamke kumwambia jamaa muda wowote nakuja hapo inaonekana jamaa alimuliza unaweza kuja saa ngapi na mimi sina wkend wala skukuu ni sku zote natoka asbh kurud usku kwaiyo mwanamke wng anakuwa huru kutoka kila sku na kufanya yake maana anajua muda wng wa kutoka na kurudi.
 
Back
Top Bottom