Aliumiza hisia zangu nikamwambia kuwa kuna kitu amefanya kimeniumiza. Amenuna, hanitext wala kupiga. Leo ni siku ya 5. Sijui ndo tumebreak up. [emoji134]
Nimenuna kwasababu ile sms yako ya usiku sikuipenda ndio maana. Na kwanini usinitafute mwenyewe uje hapa kunisema? Unajua bado nakupenda lakini ukimya wako naelewa kusudio lako.
Nimenuna kwasababu ile sms yako ya usiku sikuipenda ndio maana. Na kwanini usinitafute mwenyewe uje hapa kunisema? Unajua bado nakupenda lakini ukimya wako naelewa kusudio lako.