Mawasiliano haya!!

Mawasiliano haya!!

cbebe

Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
66
Reaction score
55
83676b85575e91136515e0cd410bbd40.jpg
 
Tatizo tukituma sms kuwajulia hali huwa kila siku mnajibu hali mbaya Mara jino lauma,Mara mama mgonjwa Mara kimeenda kimerudi ilimradi tu mpige
Kizinga

Ukiona mwanamke anakutumia SMS sana ,anajipendekeza ,jichunguze huyo anatafuta target ya kukupiga mzinga,
 
wanaume ni Wa ajabu sana maskini wengine wanakuja hapa wanalia eti wapenzi wao hawawatumii hata SMS ila wengine wakitumiwa hata hawajibu. siku zote penye miti hakuna wajenzi.

kuna mwingine Analia hata apate "goodnight" hapati kila saa anaangalia kama kuna sms ikiingia tu fasta anaenda kuangalia anakuja ni vodacom wanamkumbusha kulipa deni la nipige tafu ,soo sad.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom