BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,196
- 1,338
Kama kukaa kwa Lema ndani kunakuongezea unga debe kwako then endelea kumuombea Mabaya .
Kama ni siasa tu unafanya then bado una practice siasa za Miaka hiyoooo,Miaka ambayo mtu wa chama kingine alikuwa anaonekana mhaini na msaliti na anatakiwa kupotezwa.
We are in new era mkuu wake up siasa za kukomoana au kulipiza kisasi ilishapitwa na wakati,we are in modern political era,siasa za kiuchumi,siasa za maendeleo sio elimination ,hoja kwa hoja ,sio hoja kwa propaganda mkuu.
Ndiyo maana EL, Mbowe and co, Ltd wako free kwa sababu wanajua siasa siyo matusi wala kashfa na huyo yumo chumbani kwa sababu ya kashfa zake. HAKUNA UHURU USIOKUWA NA MIPAKA HATA MBINGUNI MALAIKA HAWAGUSI ALIPO MUUMBA WAO.