Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,817
Nitasimamia Ukweli Daima na Mawakili wa Serikali wamekua wanajitahidi sana katika kufanya kazi zao na mimi nawaambia wakaze Uzi ili angalau Lema atoke mapema mwakani mwezi wa Pili kwani atakua kajifunza kufuatia tabia yake chafu ya kumkejeli na kumtukana mheshimiwa Rais.
Ili iwe funzo kwa wote wasioheshimu mamlaka kwa kujivunia eti Mawakili wasomi kama akina Kibatala kuwa watawatoa na kudharau Mawakili wa Jamuhuri.
Ili iwe funzo kwa wote wasioheshimu mamlaka kwa kujivunia eti Mawakili wasomi kama akina Kibatala kuwa watawatoa na kudharau Mawakili wa Jamuhuri.