Mandela alikuwa mpigania uhuru wa taifa, Lema anapigania nini, je yeye ni nani, yeye kama mbunge wa jimbo hawezi hata kuinfluence hata wilaya moja kati ya wilaya takribani 175 za nchi yetu. Acheni kupoteza muda kujadili ndoto za mchana. Akitoka atakuwa mpole kinyume na matarajio yenu vijana msiojielewa.Mandela alikaa miaka 30 jela lakini mapambano yaliendelea na uhuru wakapata what we need is [HASHTAG]#Justice4lema[/HASHTAG], [HASHTAG]#freedomofspeech[/HASHTAG], [HASHTAG]#jamiiforumtuwehurukuchangia[/HASHTAG], [HASHTAG]#BringbackBenSaananeAlive[/HASHTAG].