Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Duniani wanaitwa wasomi, Afrika wanaitwa wasomi ila Tanzania nachelea kuwaita wasomi.
Endapo Mawakili mtashindwa kuungana nakupigania Uhuru wenu basi kitambo kidogo mtapigania kutoka gereza la fikra. Mkwamo wenu ni mkwamo wa jamii, nimkwamo wa Taifa. Natambua mna familia ila nawakumbusha kuwa mna kiapo ndani yenu pia. Mnayo nafasi yakulisimamia taifa kwenye milango ya mahakama na kuakikisha tunapata haki.
Alianza Fatma na sasa ni zamu ya Jebra, je Nani atafuata? Bado tunao watu wa kariba hii miongoni mwenu? Wangapi?
Endapo Mawakili mtashindwa kuungana nakupigania Uhuru wenu basi kitambo kidogo mtapigania kutoka gereza la fikra. Mkwamo wenu ni mkwamo wa jamii, nimkwamo wa Taifa. Natambua mna familia ila nawakumbusha kuwa mna kiapo ndani yenu pia. Mnayo nafasi yakulisimamia taifa kwenye milango ya mahakama na kuakikisha tunapata haki.
Alianza Fatma na sasa ni zamu ya Jebra, je Nani atafuata? Bado tunao watu wa kariba hii miongoni mwenu? Wangapi?