Mawakili 10 badala ya kufungua kesi ya matusi kaitetee nchi tunadaiwa mabilioni baada ya kushindwa kesi

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
May 28, 2023
930
1,299
Ndio maana kuna ASKOFU aliwahi kusema MAWAKILI wetu Ujanja wao wote mwisho ni MAHAKAMA ya KISUTU.

TANZANIA ilishtakiwa Nje ya NCHI na KUSHINDWA KESI na Kutakiwa KULIPA MABILIONI ya FEDHA. Nilitarajia MAWAKILI wetu kwa UMOJA wao wangeshirikiana na MAWAKILI wa SERIKALI kujiunga Pamoja kwenda KUITETEA NCHI ili ISILIPE hayo MABILIONI ambayo yangetumika ktk MIRADI ya kuwaletea MAENDELEO wananchi.Badala ya kufanya hivyo Eti WAKILI 10 Wanataka kufungia KESI Ya KUWASHTAKI Wanaopinga Mkataba wa BANDARI kwa kutumia Lugha isiyo ya Staha.

Najiuliza kwanini KESI yenye TIJA kwa NCHI hawataki kutoa MCHANGO wao?Je wao Mawakili 10 wana Maslahi gani kwa hii Kesi wanayotaka kufungua?

Tufike mahali Mawakili wetu Onyesheni MICHANGO yenu kwa NCHI kwani Mmesomeshwa kwa KODI za Wananchi Masikini Kesi mnayotaka kufungua inazoweza kumalizwa kwa Maongezi acheni kupoteza MUDA wa Mahakama zetu.

NENDENI ULAYA KUIPAMBANIA NCHI msiishie MAHAKAMA za KISUTU.
20230801_070303.jpg
 
Ndio maana kuna ASKOFU aliwahi kusema MAWAKILI wetu Ujanja wao wote mwisho ni MAHAKAMA ya KISUTU.

TANZANIA ilishtakiwa Nje ya NCHI na KUSHINDWA KESI na Kutakiwa KULIPA MABILIONI ya FEDHA. Nilitarajia MAWAKILI wetu kwa UMOJA wao wangeshirikiana na MAWAKILI wa SERIKALI kujiunga Pamoja kwenda KUITETEA NCHI ili ISILIPE hayo MABILIONI ambayo yangetumika ktk MIRADI ya kuwaletea MAENDELEO wananchi.Badala ya kufanya hivyo Eti WAKILI 10 Wanataka kufungia KESI Ya KUWASHTAKI Wanaopinga Mkataba wa BANDARI kwa kutumia Lugha isiyo ya Staha.

Najiuliza kwanini KESI yenye TIJA kwa NCHI hawataki kutoa MCHANGO wao?Je wao Mawakili 10 wana Maslahi gani kwa hii Kesi wanayotaka kufungua?

Tufike mahali Mawakili wetu Onyesheni MICHANGO yenu kwa NCHI kwani Mmesomeshwa kwa KODI za Wananchi Masikini Kesi mnayotaka kufungua inazoweza kumalizwa kwa Maongezi acheni kupoteza MUDA wa Mahakama zetu.

NENDENI ULAYA KUIPAMBANIA NCHI msiishie MAHAKAMA za KISUTU.
View attachment 2709523
Ni vema tungeanzia pale ambapo ni nan amesababisha mpaka kushitakiwa nje ya Nchi kuliingizia Taifa hasara? Haya yote kuna kundi lilisababisha ambapo halikutaka kusikiliza ushauri wa awaye yote. Ni vzr tujifunze kwanza kuheshim contract na agreement. Hao mawakili hata wakienda mia haisaidii!!
 
Wanafungua kesi za hapahapa nyumbani maana wanajua hukumu imeshapangwa kuendana na matakwa ya serikali. Huko nje hawathubutu maana wana uwezo mdogo, na kikubwa huko haki ndio inatawala na sio hila.
 
Ndio maana kuna ASKOFU aliwahi kusema MAWAKILI wetu Ujanja wao wote mwisho ni MAHAKAMA ya KISUTU.

TANZANIA ilishtakiwa Nje ya NCHI na KUSHINDWA KESI na Kutakiwa KULIPA MABILIONI ya FEDHA. Nilitarajia MAWAKILI wetu kwa UMOJA wao wangeshirikiana na MAWAKILI wa SERIKALI kujiunga Pamoja kwenda KUITETEA NCHI ili ISILIPE hayo MABILIONI ambayo yangetumika ktk MIRADI ya kuwaletea MAENDELEO wananchi.Badala ya kufanya hivyo Eti WAKILI 10 Wanataka kufungia KESI Ya KUWASHTAKI Wanaopinga Mkataba wa BANDARI kwa kutumia Lugha isiyo ya Staha.

Najiuliza kwanini KESI yenye TIJA kwa NCHI hawataki kutoa MCHANGO wao?Je wao Mawakili 10 wana Maslahi gani kwa hii Kesi wanayotaka kufungua?

Tufike mahali Mawakili wetu Onyesheni MICHANGO yenu kwa NCHI kwani Mmesomeshwa kwa KODI za Wananchi Masikini Kesi mnayotaka kufungua inazoweza kumalizwa kwa Maongezi acheni kupoteza MUDA wa Mahakama zetu.

NENDENI ULAYA KUIPAMBANIA NCHI msiishie MAHAKAMA za KISUTU.
View attachment 2709523
Wanatafuta teuzi!
 
Ndio maana kuna ASKOFU aliwahi kusema MAWAKILI wetu Ujanja wao wote mwisho ni MAHAKAMA ya KISUTU.

TANZANIA ilishtakiwa Nje ya NCHI na KUSHINDWA KESI na Kutakiwa KULIPA MABILIONI ya FEDHA. Nilitarajia MAWAKILI wetu kwa UMOJA wao wangeshirikiana na MAWAKILI wa SERIKALI kujiunga Pamoja kwenda KUITETEA NCHI ili ISILIPE hayo MABILIONI ambayo yangetumika ktk MIRADI ya kuwaletea MAENDELEO wananchi.Badala ya kufanya hivyo Eti WAKILI 10 Wanataka kufungia KESI Ya KUWASHTAKI Wanaopinga Mkataba wa BANDARI kwa kutumia Lugha isiyo ya Staha.

Najiuliza kwanini KESI yenye TIJA kwa NCHI hawataki kutoa MCHANGO wao?Je wao Mawakili 10 wana Maslahi gani kwa hii Kesi wanayotaka kufungua?

Tufike mahali Mawakili wetu Onyesheni MICHANGO yenu kwa NCHI kwani Mmesomeshwa kwa KODI za Wananchi Masikini Kesi mnayotaka kufungua inazoweza kumalizwa kwa Maongezi acheni kupoteza MUDA wa Mahakama zetu.

NENDENI ULAYA KUIPAMBANIA NCHI msiishie MAHAKAMA za KISUTU.
View attachment 2709523
Wakati mikataba inasainiwa walishirikishwa!!?
 
Ndio maana kuna ASKOFU aliwahi kusema MAWAKILI wetu Ujanja wao wote mwisho ni MAHAKAMA ya KISUTU.

TANZANIA ilishtakiwa Nje ya NCHI na KUSHINDWA KESI na Kutakiwa KULIPA MABILIONI ya FEDHA. Nilitarajia MAWAKILI wetu kwa UMOJA wao wangeshirikiana na MAWAKILI wa SERIKALI kujiunga Pamoja kwenda KUITETEA NCHI ili ISILIPE hayo MABILIONI ambayo yangetumika ktk MIRADI ya kuwaletea MAENDELEO wananchi.Badala ya kufanya hivyo Eti WAKILI 10 Wanataka kufungia KESI Ya KUWASHTAKI Wanaopinga Mkataba wa BANDARI kwa kutumia Lugha isiyo ya Staha.

Najiuliza kwanini KESI yenye TIJA kwa NCHI hawataki kutoa MCHANGO wao?Je wao Mawakili 10 wana Maslahi gani kwa hii Kesi wanayotaka kufungua?

Tufike mahali Mawakili wetu Onyesheni MICHANGO yenu kwa NCHI kwani Mmesomeshwa kwa KODI za Wananchi Masikini Kesi mnayotaka kufungua inazoweza kumalizwa kwa Maongezi acheni kupoteza MUDA wa Mahakama zetu.

NENDENI ULAYA KUIPAMBANIA NCHI msiishie MAHAKAMA za KISUTU.
View attachment 2709523
Mkuu, inawezekana huelewi ulichokiandika. Iko hivi...

Kuna Mawakili wa aina mbili ambao ni Mawakili wa Serikali na Mawakili binafsi/wa kujitegemea. Kila kundi linahudumu sehemu yake. Wale wa Serikali wako kwa ajili ya kulinda na kutetea maslahi ya Serikali, na wale wa kujitegemea wanatetea maslahi ya watu au taasisi binafsi.

Katika muktadha huo, haiwezekani Mawakili binafsi wajipeleke kutetea maslahi ya Serikali wakati Mawakili wa kufanya hivyo wapo na wanalipwa mishahara kwa kodi zetu. Mawakili binafsi wanalipwa na wateja wao.

Nadhani umenielewa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, inawezekana huelewi ulichokiandika. Iko hivi...

Kuna Mawakili wa aina mbili ambao ni Mawakili wa Serikali na Mawakili binafsi/wa kujitegemea. Kila kundi linahudumu sehemu yake. Wale wa Serikali wako kwa ajili ya kulinda na kutetea maslahi ya Serikali, na wale wa kujitegemea wanatetea maslahi ya watu au taasisi binafsi.

Katika muktadha huo, haiwezekani Mawakili binafsi wajipeleke kutetea maslahi ya Serikali wakati Mawakili wa kufanya hivyo wapo na wanalipwa mishahara kwa kodi zetu. Mawakili binafsi wanalipwa na wateja wao.

Nadhani umenielewa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa anauelewa mdogo wa mambo, nmemshangaa sana kuongelea swala asilolifahamu tena kwa kutoa lawama.

Hajataka kufanya tafiti, kakurupuka tu kaja kushusha uzi JF.
 
Huu ujinga umezidi kiwango, muda mwingine muwe na aibu uchawa umepigwa pini ndani ya chama wewe bado tu.
Chawa mimi ?
Sawa ndugu mzima lakini ?

Twenzetu uwanja wa taifa leo ni patamu kweli nasikia mama la mama atakuwepo twende anaweza kuzungumzia jambo la dipiwedi au sio ?

Kuhusu tiketi ninazo mbili za VVIP unaonaje nikugaie mojawapo ndugu yangu tukafurahi maana siku imefana sana kaka .

Vipi lakini Mwambukusi anasemaje huko nasikia eti wanataka kumfanya kama Fatuma karume ?

Namuombea sana , badae basi usisite kunistua twende badae kwa mkapa mimi naenda mara moja ofisini simu nakabidhi mapokezi si unajua tena huku kwetu simu haguingii nazo ofisini .

Badae rafiki kipenzi , kitambo kweli nimefurahi kukuona mkuu

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
W
Mkuu, inawezekana huelewi ulichokiandika. Iko hivi...

Kuna Mawakili wa aina mbili ambao ni Mawakili wa Serikali na Mawakili binafsi/wa kujitegemea. Kila kundi linahudumu sehemu yake. Wale wa Serikali wako kwa ajili ya kulinda na kutetea maslahi ya Serikali, na wale wa kujitegemea wanatetea maslahi ya watu au taasisi binafsi.

Katika muktadha huo, haiwezekani Mawakili binafsi wajipeleke kutetea maslahi ya Serikali wakati Mawakili wa kufanya hivyo wapo na wanalipwa mishahara kwa kodi zetu. Mawakili binafsi wanalipwa na wateja wao.

Nadhani umenielewa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiye haujamwelewa mleta hoja.

Sote tunatambua kuwa wapo mawakili wa serikali na pia wa kujitegemea. Lakini linapokuja suala la maslahi ya taifa mleta hoja anaona vema kuwa ni vizuri mawakili wote wakashirikiana kulinganisha nguvu ili kupata maslahi ya taifa. Uelewe kuwa hata mawakili wa kujitegemea wanao wajibu wa kuitetea serikali pale wanapohisi kuna maslahi ya taifa ni siyo tu kuachiwa mawakili wa serikali.

Hapa mleta hoja anahoji uzalendo wa mawakili hasa 10 wa serikali wanakwenda kutafuta maslahi gani au wao wanaona ni Sawa kuitetea mkataba wa Dp world ambao hata Chama chao cha mawakili kimeweka bayana kuwa mkataba una kasoro.
 
Back
Top Bottom