Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 507
- 891
Mgombea ubunge wa Mtumba mkoani Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, amesema atasimamia kuvunjwa soko la Sabasaba na kujengwa upya, akisisitiza kuwa hatua hiyo inalenga kuboresha mazingira ya wafanyabiashara na kulipa sura mpya ya kisasa.
“Niliposema tunalivunja soko la Sabasaba, baadhi waliingiza siasa. Lakini ni bora wanichukie leo, wanikumbuke kesho. Hakuna mfanyabiashara atakayepoteza nafasi, tutalipanga upya kwa ustawi wa wote,” amesema Mavunde.
“Niliposema tunalivunja soko la Sabasaba, baadhi waliingiza siasa. Lakini ni bora wanichukie leo, wanikumbuke kesho. Hakuna mfanyabiashara atakayepoteza nafasi, tutalipanga upya kwa ustawi wa wote,” amesema Mavunde.