The Dark Father
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,144
- 1,410
Sipendi tamaduni za WCB, lakini mavoko alikuwa amepotea.
Nakumbuka hata nyimbo zake mbili za mwisho hapo kabla.
WCB ilikuwa ni 'last resort'
Lakini kama mtu mzima ana haki ya kufanya maamuzi yoyote anapoona walakini.
Nakumbuka hata nyimbo zake mbili za mwisho hapo kabla.
WCB ilikuwa ni 'last resort'
Lakini kama mtu mzima ana haki ya kufanya maamuzi yoyote anapoona walakini.