Mavazi ktk vyuo vikuu Tanzania

Mahesabu

JF-Expert Member
Jan 27, 2008
5,972
3,830
CHUO KIKUU CHA TUMAINI (KURASIN) kilicho chini ya KANISA LA KILUTHERI baada ya kupiga marufuku suruali kwa wanachuo wa kike na baadhi ya mavazi kwa wanaume DEAN atengua rasmi katazo hilo...sasa SURUALI ni ruksa kwa akina "ke" na yeyote atakayemzua ama kuhoji mavazi hayo aelekezwe kwa DEAN.....!
wakati uongozi wa juu umekataza mavazi yasiyo na staha dean apingana na uongozi, kwa maelezo yasiyo rasmi kuwa anataka kifungu cha sheria kinchoelezea huku akiendelea kunadi kuwa mbona majaji wa kike wanavaa suruali
JEE ANASAHAU KUWA NI CHUO CHA KANISA
 
Wewe usileta idiology zako za kidini ukataka kila mtu azifuate.Sitara ni kitu gani?Mtu mzimz huwa hafundishwi namna ya kuvaa.DEAN Yupo wazi kabisa kwani TZ hakuna sheria ya kuhusu uvaaji na wala haotakuwepo.Hii inatokana na jinsi Tanzania Tulivyo changanyikana kidini,kimakabila nk.Mbona wanaume wanavaa kanzu haya si ni magauni tuu? kua ki fikra
 
Unakuta binti kavaa kimini, anasoma, anajisahau kwa uchovu, anajitanua hata nguo na maungo ya ndani kuonekana.
Mvulana anavaa jinsi inayobana, jinsi imevaliwa mlegezo kiasi cha kuacha nguo chafu za ndani kuonekana, ina ifuko kama dazeni, ina rangi si chini ya tano, hata huwezi kutofautisha tofauti kati ya kibaka na msomi.
Naapongeza SAUT walioasisi na kusimamia utamaduni wa mavazi ya heshima. Kilichotokea Tumain - Kurasini (DSM) ni ishara Dean kutotii mamlaka, pia nina wasiwasi na usimamizi wa chuo cha Tumain - Tanzania. Heshima ya mtu inaanza na muonekano wake. Ila wanavyuo wengi hawajitambui.
 
Back
Top Bottom