Mauzauza usingizini



Hata akishika kitu anakua anashake...! Kazini huez fanya kitu kbs ni km ubongo unakuwa umelala...! Mbaya sana aisee
 
Badilisha hiyo avatar
Ina roho wabaya

My life is mine to remember
 
Daaa.......sawa mkuu nina wkt mgumu sana. Huwa siotagi kuwindwa au kufukuzwa na watu Ila mara kibao huwa nakutana na mazingira ya mlima na msitu mnene alafu napatashida sn kupanda ila mwisho nafanikiwa na mara nyingi kwe mahangaiko ya kupanda mlima mrefu na kwenye msitu mnene ni lazima nikutane na nyoka maana mm naogopa sn nyoka so hua ikijitokea nyoka ndotoni napata shida sn......
 

Kuna mtu alihama mkoa kabisa na hayo mauzauza yakawa yanamtokea hukohuko makazi mapya: kwa hiyo nafikiri kuhama sio suluhisho


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu alihama mkoa kabisa na hayo mauzauza yakawa yanamtokea hukohuko makazi mapya: kwa hiyo nafikiri kuhama sio suluhisho


Sent using Jamii Forums mobile app
Ukihama na matatizo yakaendelea basi inakupasa utumie Tiba za jadi ili ujisafishe hayo mamikosi, au usione hatari kurudi nyumbani ili wazee wakuone ikibidi unatumia nafasi hiyo kupalilia makabuli ya Babu zako
 
Pole mkuu ukisali kwa usahihi hiyo hali itapotea kabisa maana mimi nilikuwa naota ndoto flani kama ya kujirusha kwenye daraja hapa ninapoishi mara nyingi sana ila nilipoanza kusali hiyo hali wala haijajirudia tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sali, ongea na Yesu Kristo mwombe kila siku unapoamka na kabla ya kulala. Pia nenda kwa mtumishi wa kweli wa Yesu Kristo mweleze akuombee yatakwisha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…