ok, mambo iko ivii.Hii imeshatokea huku kisarawe ,ilimtokea jirani yangu Tom.Alichofanya ni kutoka nduki na kuja kutushtua sisi jirani zake,ile tunakwenda kumchek huyo mwanamke tulikuta kanga tu,mwanamke hatukujua amekimbilia wapi.Sisi pia hatukuamini,ila jamaa alisisitiza sana.Mchana tulivyokutana na yule mwanamke tulimbana ila alikataa kata kata kulala kwa mshkaji.Mimi na dhani jamaa alilala na jini,ila iweje jini huyu aache kanga? mnh huku pwani kunamambo