Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Watu wasemekeanao majambazi wamevamia harusi moja kwa
kuingia na kuwaua watu watano na kuendelea kuwasha moto kwa wengine waliokuwa wakitafutwa,..habari zaiidi zinasema walipoingia walikuwa kama wana harusi ndipo baada ya wanaharusi kuingina wakaanza kuwasha bastola kama njugu
harusi iliishia hapo baada ya bibi harusi kula kona na huku bwana harusi akiachwa kama mmoja wa majeruhi
wachungaji wameomba watu waliouwawa jamanai chonde msirudishe kisassi mtamaliza mara yetu tunaomba...
Mmoja wa wana mara amesema kama wananchi tunashirikiana na polisi sidhai kama tutaacha kuwakamata lakini kama tukishindwa basi tuwaageukie mapolisi
kuingia na kuwaua watu watano na kuendelea kuwasha moto kwa wengine waliokuwa wakitafutwa,..habari zaiidi zinasema walipoingia walikuwa kama wana harusi ndipo baada ya wanaharusi kuingina wakaanza kuwasha bastola kama njugu
harusi iliishia hapo baada ya bibi harusi kula kona na huku bwana harusi akiachwa kama mmoja wa majeruhi
wachungaji wameomba watu waliouwawa jamanai chonde msirudishe kisassi mtamaliza mara yetu tunaomba...
Mmoja wa wana mara amesema kama wananchi tunashirikiana na polisi sidhai kama tutaacha kuwakamata lakini kama tukishindwa basi tuwaageukie mapolisi