Mautundu kwenye modems

Mautundu kwenye modems

PrinceH

Member
Joined
Aug 31, 2013
Posts
58
Reaction score
10
wadau modem yangu niliiflash na kasoftware lakini sasa nashangaa nikiweka lain yeyote ile hata ile xa kampuni inasema Not found sasa sijui nifanyeje wajameni
 
uninstall dashboard ambayo umeiweka hivi karibuni,
nime-exprience hilo kwenye laptop yangu!
 
Nilisha shahuri,na leo nakushahuri wewe na wengine vitu vya kuchakachua havina maisha na haviaminiki.hivyo jenga mazoea ya kununua vitu genuine
 
Mmnh! Hiyo wape watoto wachezee tu, ishakuwa RIP. Next usijaribu kufanya chochote bila ya kuelewa vizuri maelekezo.
Nakutakia manunuzi mema.
 
wadau modem yangu niliiflash na kasoftware lakini sasa nashangaa nikiweka lain yeyote ile hata ile xa kampuni inasema Not found sasa sijui nifanyeje wajameni
Kama alivyosema Twilumba
ila hujaelezea modem yako ni aina gani? ZTE, Alcatel,Huawei ete..etc....
uliflash na firmware ipi? na je inawaka au dead?na hiyo not found ni msg kukueleza line ndo not found au modem ndo not found?
Kama ni hizi HiLink E303 za vodacom nafkiri maelezo yake ya kuflash yapo humu jf ila yanakasoro kidogo. unatakiwa kuflash dashboard ili kuipa drivers. unaweza read dashboard kwenye ile e303 ya zamani ambayo sio Hilink na kuiflash kwenye Hilink ili ipate installation setup ambayo itakupatia drivers.
 
Ukichunguza sana kila anapotokea mtu kuomba msaada wanaotoa majibu ya kipumbavu ni wale ambao hawajui chochote kwenye kinachoombewa msaada. Kama hujui kwanini usikae kimya tu ukaonekana mwenye hekima na busara kuliko kujibu utumbo?
 
Kama alivyosema Twilumba
ila hujaelezea modem yako ni aina gani? ZTE, Alcatel,Huawei ete..etc....
uliflash na firmware ipi? na je inawaka au dead?na hiyo not found ni msg kukueleza line ndo not found au modem ndo not found?
Kama ni hizi HiLink E303 za vodacom nafkiri maelezo yake ya kuflash yapo humu jf ila yanakasoro kidogo. unatakiwa kuflash dashboard ili kuipa drivers. unaweza read dashboard kwenye ile e303 ya zamani ambayo sio Hilink na kuiflash kwenye Hilink ili ipate installation setup ambayo itakupatia drivers.

hata mimi ninatatizo kama hili niliflash modem yangu ya airtel Huawei E173u-01 kwakutumia njia zilizoweka humu jamii forum..... ujumbe huu unaonekana kwenye dashboard ambao unasema ''device not found'' kwajinsi inavyonekana ni kama haidetect simcard iliyowekwa ndani ya modem.kwa muda huwa ikoo hivi na kuna wakati mwingine inaacha yenyewe tatizo hili.....
 
jaribu ku uninstall/delete dashboard kisha uinstall upya modem yako
 
Ukichunguza sana kila anapotokea mtu kuomba msaada wanaotoa majibu ya kipumbavu ni wale ambao hawajui chochote kwenye kinachoombewa msaada. Kama hujui kwanini usikae kimya tu ukaonekana mwenye hekima na busara kuliko kujibu utumbo?

Hakuna majibu ya kipumbavu yoyote yaliyotolewa kwenye hii link, badilika, ongeza mtazamo wako, usiwe mfinyu kiasi hicho.

Kila mtu hutoa kile alichonacho, sasa ni wewe uchague nini kina kufaa, kisichokufaa achana nacho, usitake kila mtu awe na mawazo kama yako, au usitarajie kuona unachotaka wewe kwa watu wengine kila mtu yuko kama alivyo yeye, ulichonacho wewe akilini mwako usidhani na wenzio wanacho.
 
usijali ndugu m mwenyewe nilitokewa na tatizo kama lako modem ikazingua lakin kuna software nime instal kwenye laptop yangu inaitwa beetel connection manager na nyengine telecom nz ndizo ninazotumia kama dashboard yangu lain zote zinasoma na natumia kama kawaida jaribu na wewe
 
jamani kwa wengine pia huna haja ya ku flash modem kuna software inaitwa 3 mobile manager inasoma line yoyote kwa modem yoyote, ni nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom