M mwl JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 1,101 Reaction score 914 Jun 12, 2011 #1 Jamaa alimkuta mvuta bangi na kumwambia kuwa moshi wa bangi utamuua polepole, mvuta bangi akamjibu kwani nani alikwambia nataka kufa haraka?
Jamaa alimkuta mvuta bangi na kumwambia kuwa moshi wa bangi utamuua polepole, mvuta bangi akamjibu kwani nani alikwambia nataka kufa haraka?