Mauongo ya wanawake yanayowakera wanaume

Mauongo ya wanawake yanayowakera wanaume

I know you inside out... To a point ukiniagaliaga tu na macho yako ya hiba najua unachotaka... Kabla hujanyanyua lips zako nzuri nishajua what you want to say... Kuna a way ukitakaa nanilii huwa..m nishajua...

Teh nikikataa nini Smart911 wangu??

Don't be afraid love just tell me!
 
Pengine wewe mgeni na hawa viumbe, unaweza mwaga hela zikaenda kumufaisha mwanaume mwingine na bado ukazomewa kisogoni tu…
duh mie sio mgeni kabisa na mbunye mtoto wangu wa kwanza nilizaa na mwanamke wa kiganda wakati wa vita vya kumng'oa Nduli Idd Amin. Nadhani umenisoma kuwa nina uzoefu na nishazeeka nina mvi mpk kwenye mav.uzi ya pu.mbu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
duh mie sio mgeni kabisa na mbunye mtoto wangu wa kwanza nilizaa na mwanamke wa kiganda wakati wa vita vya kumng'oa Nduli Idd Amin. Nadhani umenisoma kuwa nina uzoefu na nishazeeka nina mvi mpk kwenye mav.uzi ya pu.mbu
Kama ni hivyo basi unakuwa unajua kabisa kwamba mwanaune kuwa na pesa sio kigezo cha kumtuliza mwanamke,
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Wanawake na VITIMBI VYAO.
Inahitaji UJUZI WA HALI YA JUU
 
Mnajua nyinyi wanaume sometimes huwa mna uliza swali ukishajibiwa hapana na wewe ulitrgemea jibu LA ndiyooo hapo ndipo mikanganyiko huanziaaa....2 ningumu sana MTU kuwa muwaziii mm kuna me nilimuulizaga akaniambia 3 ila kadiri tunavyozidi kuishii anajichanganya kwenye story zake mpk wakafika tano.......sijamuuliza nikauchuna Siku ya siku tumeka simu inaita kupokea hataki mi nikapokea nakuta ni mwanamke na muuliza ooh Huyo ndiyo tuliachana nikamuuliza km mliachanaa mbn anaendelea kupiga simu ovyooo Pooh sijui mwenyewe sema anabahati sikuwa nimempenda kihivyoo alikuwa mshambs mshamba
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Angalizo:
Mahondaw na Smart msitualibie uzi wetu!
Kama mnataka kuchat na kusifiana nendeni PM tafadhari

Cc: Smart911
Mahondaw
 
yani vile anavyo niigiziaga mi pia namuigizia kichizi yani mpaka ananishtuka na mwenyewe anasema hivi baby tupo location au? mi namwambia hapana mchezo umeuanza wewe
 
Sasa hiyo ya 2 na tatu unauliza Ili iweje labda? I'm sure Hata weqw ukiulizwa you gonna lie
 
Back
Top Bottom