Wanyamtura
Member
- Jan 23, 2012
- 23
- 1
naombeni msaada nina mpenzi pata miaka mitano sasa, ila kila tukiduu napata maumivu makali baada ya kumaliza paka kesho yake nakunywa dawa za maumivu, ila kunastaili akiniweka ndiyo naumwa siku tatu, kifo cha mende sipati tatizo ila hizo stail zake ndizo zinanisababishia maumivu sana na pia akiniweka miguu yangu mabegani mwake, kesho inakuwa noma ata job sikwendi, mwanzo nilijuwa sababu mpz wangu anakunywa pombe inamfanya atumie muda mwingi kufika kileleni ndiyo napata maumivu, ila siyo kwani siku hizi hanywi kabisa ila napata shida. Je hiyo issue itaniletea matatizo baadaye? na nilikwenda kucheki labda nitakuwa na kasolo ila Dr waliona hakuna shida. wapendwa naombeni msaada jamaa nampenda atakama naumia